Goodbye our commander Umkontho

Goodbye our commander Umkontho

usitulize swali tunaona utuelimishe zaidi
pole pole, pili je wajua hakuna Dr wala mamlaka iliyosaini, Wala kuthibitisha hati ya kifo ya kaka michael? Nyie amkeni,muelewe hii dunia inavyokwenda....Angelieni picha upya, aliyekufa hakuwa Michael original, na Wala hakuweza kufanya moonwalk, zile moves trade mark ya michael...huo ni mwanzo tu, tawa 'll etea datazote
 
pole pole, pili je wajua hakuna Dr wala mamlaka iliyosaini, Wala kuthibitisha hati ya kifo ya kaka michael? Nyie amkeni,muelewe hii dunia inavyokwenda....Angelieni picha upya, aliyekufa hakuwa Michael original, na Wala hakuweza kufanya moonwalk, zile moves trade mark ya michael...huo ni mwanzo tu, tawa 'll etea datazote
Hebu tuweke vzr hapa
 
Nakuja kaka, tutafika tu, hilo la michael mbona dogo...mengine mbona mkiletewa,mtakimbia, ama mtalia na kusaga meno????? Lengo ni kuwaasa, muamke, tuamke, sisi watu weusi, wenzetu hawatupendi
Mie niko na wewe mwanzo mwisho,ktk kuamshana huku ,usiniache NJIANI tu
 
Sawasawa, tatu michael fake, vipimo ilivyopimwa maiti yake, ilionyesha urefu wa karibu nchi tano zaidi ya original michael, hadi urefu na upana wa sikio, vilikuwa tofauti...nyie ndugu. Zangu,tutalala hadi lini???? Kaka etu kuuliwa mnaona raha tu, skendo za michael Jackson, mara ananajisi watoto, mara, pua imedondoka, mara kachubua ngozi, yaani wanautumia fursa hiyo, kuudhalilisha mno utu wa mtu mweusi, siye twacheka nao, kumbe hatujui wenzetu watucheka siye, lakini huwezi judgments watu wote siku zote, watu wanahoji, na kufanya utafiti, aliyekuvs mwaka 2008, Hakuwa Michael. Na sasa tutawaletea kisa chote, yaani we mwenzio anakupiga we hujui uko vitani? Ni lini tutaamka, tuuchukue mustakabali wa maisha yetu mikononi mwetu wenyewe?????
 
Sawasawa, tatu michael fake, vipimo ilivyopimwa maiti yake, ilionyesha urefu wa karibu nchi tano zaidi ya original michael, nyie ndugu. Zangu,tutalala hadi lini???? Nite kuuliwa mnaona raha tu, skendo za michael Jackson, mara ananajisi watoto, mara, pua imedondoka, mara kachubua ngozi, yaani wanautumia fursa hiyo, kuudhalilisha mno utu wa mtu mweusi, siye twacheka nao, kumbe hatujui wenzetu watucheka
Michael Jackson yule alikuwa fake kabisa
 
Sawasawa, tatu michael fake, vipimo ilivyopimwa maiti yake, ilionyesha urefu wa karibu nchi tano zaidi ya original michael, hadi urefu na upana wa sikio, vilikuwa tofauti...nyie ndugu. Zangu,tutalala hadi lini???? Kaka etu kuuliwa mnaona raha tu, skendo za michael Jackson, mara ananajisi watoto, mara, pua imedondoka, mara kachubua ngozi, yaani wanautumia fursa hiyo, kuudhalilisha mno utu wa mtu mweusi, siye twacheka nao, kumbe hatujui wenzetu watucheka siye, lakini huwezi judgments watu wote siku zote, watu wanahoji, na kufanya utafiti, aliyekuvs mwaka 2008, Hakuwa Michael. Na sasa tutawaletea kisa chote, yaani we mwenzio anakupiga we hujui uko vitani? Ni lini tutaamka, tuuchukue mustakabali wa maisha yetu mikononi mwetu wenyewe?????
eeenheee mwaga mboga dada angu tufungue zaidi
 
Sawasawa, tatu michael fake, vipimo ilivyopimwa maiti yake, ilionyesha urefu wa karibu nchi tano zaidi ya original michael, hadi urefu na upana wa sikio, vilikuwa tofauti...nyie ndugu. Zangu,tutalala hadi lini???? Kaka etu kuuliwa mnaona raha tu, skendo za michael Jackson, mara ananajisi watoto, mara, pua imedondoka, mara kachubua ngozi, yaani wanautumia fursa hiyo, kuudhalilisha mno utu wa mtu mweusi, siye twacheka nao, kumbe hatujui wenzetu watucheka siye, lakini huwezi judgments watu wote siku zote, watu wanahoji, na kufanya utafiti, aliyekuvs mwaka 2008, Hakuwa Michael. Na sasa tutawaletea kisa chote, yaani we mwenzio anakupiga we hujui uko vitani? Ni lini tutaamka, tuuchukue mustakabali wa maisha yetu mikononi mwetu wenyewe?????
je zile habari zilizozagaa mitandaoni enzi hizo kwamba aliamua kufanyiwa surgery ili afanane na diana ross kwavile tu alikuwa anampenda huyu dada ni za kweli?
 
je zile habari zilizozagaa mitandaoni enzi hizo kwamba aliamua kufanyiwa surgery ili afanane na diana ross kwavile tu alikuwa anampenda huyu dada ni za kweli?
'Nadhani' hp ndipo senema ilipoanzia ,nasubiri jibu la swali lako
 
Back
Top Bottom