Goodluck Gozbert kiroho yupo sahihi kuchoma gari soma hii.. 1Sam15-20

Goodluck Gozbert kiroho yupo sahihi kuchoma gari soma hii.. 1Sam15-20

Mungu hapangiwi kufanya jambo, yeye hutenda kwa wakati wake. Usitumie matako kutafari... Matako kazi yake ni kukalia ewe kiumbe usiye tumia akili
Inaonekana akili zako ziko mapumzikoni, ndiyo maana unajitahidi kutumia nguvu za matako kufikiri.

Wakati wengine tunajenga hoja za maana, wewe umebaki unasugua maneno yasiyo na mashiko.

Kweli ukitaka kujua nani hana akili, mtazame anavyohangaika kuonyesha kuwa anazo.

Umetoka wapi na huu upuuzi unaofanana na mzaha wa mtoto mdogo?

Tafadhali rudi ulipoacha akili zako, kwa sababu hapa unatumia nguvu zako bure.

Dunia haina nafasi kwa watu wanaotumia kichwa kama mapambo.

Jiibu hoja usinijibu mimi.

Mungu ni nani?

Alitoka wapi?

Yuko wapi kwa sasa?

Umuhimu wa uwepo wake ni upi?
 
Huyo Gozibeti ameshindwa kulitakasa hilo gari kwa damu ya yesu likawa salama kwa matumizi?

Mungu wenu mbona mswahili sana
Hapo ndo shida ya walimwengu, Kosa afanye mwingine ila lawama unampa Mungu. God is a King Spirit. Amesema kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. Wewe ndo unaipangia kazi Damu ya Yesu ?

Hiyo gari alipewa 2021.

Je, Mungu mjuzi wa yote alishindwa kumpa maono kabla hajalipokea?
Una uhakika hakuonywa kabla? Alichofanya kinaweza kuwa sio sahihi kwetu lakini pengine ameona hiyo ndo gharama ya yeye kuwa na amani moyoni mwake kwa hiyo siwezi kumhukumu. Sijui hata imekuwaje ukamuingiza Mungu kwenye hili
 
Inaonekana akili zako ziko mapumzikoni, ndiyo maana unajitahidi kutumia nguvu za matako kufikiri.

Wakati wengine tunajenga hoja za maana, wewe umebaki unasugua maneno yasiyo na mashiko.

Kweli ukitaka kujua nani hana akili, mtazame anavyohangaika kuonyesha kuwa anazo.

Umetoka wapi na huu upuuzi unaofanana na mzaha wa mtoto mdogo?

Tafadhali rudi ulipoacha akili zako, kwa sababu hapa unatumia nguvu zako bure.

Dunia haina nafasi kwa watu wanaotumia kichwa kama mapambo.

Jiibu hoja usinijibu mimi.

Mungu ni nani?

Alitoka wapi?

Yuko wapi kwa sasa?

Umuhimu wa uwepo wake ni

Inaonekana akili zako ziko mapumzikoni, ndiyo maana unajitahidi kutumia nguvu za matako kufikiri.

Wakati wengine tunajenga hoja za maana, wewe umebaki unasugua maneno yasiyo na mashiko.

Kweli ukitaka kujua nani hana akili, mtazame anavyohangaika kuonyesha kuwa anazo.

Umetoka wapi na huu upuuzi unaofanana na mzaha wa mtoto mdogo?

Tafadhali rudi ulipoacha akili zako, kwa sababu hapa unatumia nguvu zako bure.

Dunia haina nafasi kwa watu wanaotumia kichwa kama mapambo.

Jiibu hoja usinijibu mimi.

Mungu ni nani?

Alitoka wapi?

Yuko wapi kwa sasa?

Umuhimu wa uwepo wake ni upi?
Baba alinikataza kubishana na watoto wa kike 😎
 
Ndugu zangu shetani hajalala shetani anafanya kazi mpaka sasa. Kuna watu hawajuwi vile shetani anafanya kazi ila kwa wale tuna soma Biblia shetani sio kiumbe mzuri.

Shetani ktk hii dunia ya leo anafanya kazi kwa namna ukijuwa unaweza kuogopa watu,zawadi,maneno,vyakula, macho ya watu nk.

Ndugu zangu kama hamjuwi leo nitawajuza kwa kuwaacha na swali moja tu sitaji mtu jina mtajiongeza hivi mmewahi kujiuliza kwanini kuna mwanamziki kila akiona kuna kipaji kinaibuka cha mwanamziki na kinakuja kwa kasi atafanya kila njia kuimba na kumsajili kwenye lable yake au kumpa zawadi nono? Siandiki sana mtamalizia wenyewe...

Goodluck ameyakanyaga na ili kupoteza ushahidi ameamua kuchoma gari yes. Sio jambo lakushangaza embu turudi kwenye hiki kisa cha mfalme Sauli na kwanini Mungu alimshusha kutoka kwenye kiti.

Mfalme Sauli baada ya kutawazwa na Mungu akiwa ndio mfalme wa kwanza ktk Israel alifanya kosa moja tu nahilo

Kosa likawa ndio mwisho wake na Mungu akamkataa je wajuwa kosa gani?

Ktk Taifa la Israel walipo kuwa wanaenda vitani moja ya sharti Mungu alikuwa akiwaonya nikuto kuchukua vitu vya adui kuanzia watoto,mali, wake, vito vya thamani au chchote cha thamani walitakiwa kuvikusanya na kuvichoma na ilikuwa kubeba mali ya adui ni hatari kwa jeshi na Taifa la Israel.

Sasa huyu mfalme kwenye vita moja Mungu alimuagiza kuuwangamiza mji mzima yeye bwana kufika kwa mji akaona wanawake na vibinti vizuri aka anza kuvipenda na dhahabu akabeba wee Mungu akamwambia Samwel akamtengue nakumpa ufalme Daud.
Mungu hakumsamehe Saul.

Watu wanapewa vitu vya hatari na wanao jiita watu wa Mungu ila nyuma ya pazia wanajifunga na giza.

Wanatupa vitu vya kula na kunywa ila hayo ndio maagano tunafunga nayo ndoa ni hatari sana
Kwa wale tunasoma BIBLIA Tunakumbuka shetani anamwambia Yesu ukinisujudia nakupa milik zote Yesu akamwambia imeandika usimjaribu bwana Mungu wako.

Soma Pia: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji

Watu wamekula vitu hawatoinuka tena watu wamebeba vitu hawatoinuka tena. Je Kwanini? Tamaa inatumaliza nakutufarakanisha na Mungu.

Kipaji cha Gozbert kilimtisha shetani akajuwa udhaifu na tamaa yake akamaliza naye halikuwa gari ila mali za dunia ili amsujudie shetani na kupotea na hilo amefanikiwa kwahiyo dawa haikuwa kurudisha au kuuza chuma chakavu kitu cha laana hakifai ila pia kwakuwa alipiga magoti na hapo ndio kuna shida yupo kwa kifungo Mungu amtetee




Acha wafu waziKane wenyewe
 
Baba alinikataza kubishana na watoto wa kike 😎
Inaonekana baba yako alikufundisha kukwepa hoja kwa sababu labda yeye mwenyewe alikua hana uwezo wa kuzimudu.

Ni urithi wa kuogopa changamoto ya kukabiliana na hoja nzito.

Coward 😂🫵🏿

Kama we mwanaume jenga hoja, usikwepe.

Jibu hoja zangu ili nijue kama wewe ni mwanaume mwenzetu au gasho niku🚮.
 
Inaonekana baba yako alikufundisha kukwepa hoja kwa sababu labda yeye mwenyewe alikua hana uwezo wa kuzimudu.

Ni urithi wa kuogopa changamoto ya kukabiliana na hoja nzito.

Coward 😂🫵🏿

Kama we mwanaume jenga hoja, usikwepe.

Jibu hoja zangu ili nijue kama wewe ni mwanaume mwenzetu au gasho niku🚮.
We una ukimwi kwani?
 
Huyo Gozibeti ameshindwa kulitakasa hilo gari kwa damu ya yesu likawa salama kwa matumizi?

Mungu wenu mbona mswahili sana
Huwezi kutakasa haram agano lako na shetani unalitakasaje? Shetan hana nafasi yakutubu isipokuwa binadam
 
Huyo Gozibeti ameshindwa kulitakasa hilo gari kwa damu ya yesu likawa salama kwa matumizi?

Mungu wenu mbona mswahili sana
Alipata maelekezo kuwa asimpe mtu yoyote hilo gari ndiyo akalichoma. Ameeleza vzr sana kwenye you tube
 
Ndugu zangu shetani hajalala shetani anafanya kazi mpaka sasa. Kuna watu hawajuwi vile shetani anafanya kazi ila kwa wale tuna soma Biblia shetani sio kiumbe mzuri.

Shetani ktk hii dunia ya leo anafanya kazi kwa namna ukijuwa unaweza kuogopa watu,zawadi,maneno,vyakula, macho ya watu nk.

Ndugu zangu kama hamjuwi leo nitawajuza kwa kuwaacha na swali moja tu sitaji mtu jina mtajiongeza hivi mmewahi kujiuliza kwanini kuna mwanamziki kila akiona kuna kipaji kinaibuka cha mwanamziki na kinakuja kwa kasi atafanya kila njia kuimba na kumsajili kwenye lable yake au kumpa zawadi nono? Siandiki sana mtamalizia wenyewe...

Goodluck ameyakanyaga na ili kupoteza ushahidi ameamua kuchoma gari yes. Sio jambo lakushangaza embu turudi kwenye hiki kisa cha mfalme Sauli na kwanini Mungu alimshusha kutoka kwenye kiti.

Mfalme Sauli baada ya kutawazwa na Mungu akiwa ndio mfalme wa kwanza ktk Israel alifanya kosa moja tu nahilo

Kosa likawa ndio mwisho wake na Mungu akamkataa je wajuwa kosa gani?

Ktk Taifa la Israel walipo kuwa wanaenda vitani moja ya sharti Mungu alikuwa akiwaonya nikuto kuchukua vitu vya adui kuanzia watoto,mali, wake, vito vya thamani au chchote cha thamani walitakiwa kuvikusanya na kuvichoma na ilikuwa kubeba mali ya adui ni hatari kwa jeshi na Taifa la Israel.

Sasa huyu mfalme kwenye vita moja Mungu alimuagiza kuuwangamiza mji mzima yeye bwana kufika kwa mji akaona wanawake na vibinti vizuri aka anza kuvipenda na dhahabu akabeba wee Mungu akamwambia Samwel akamtengue nakumpa ufalme Daud.
Mungu hakumsamehe Saul.

Watu wanapewa vitu vya hatari na wanao jiita watu wa Mungu ila nyuma ya pazia wanajifunga na giza.

Wanatupa vitu vya kula na kunywa ila hayo ndio maagano tunafunga nayo ndoa ni hatari sana
Kwa wale tunasoma BIBLIA Tunakumbuka shetani anamwambia Yesu ukinisujudia nakupa milik zote Yesu akamwambia imeandika usimjaribu bwana Mungu wako.

Soma Pia: Muimbaji wa injili GodLucky achoma moto gari alilopewa zawadi na mchungaji

Watu wamekula vitu hawatoinuka tena watu wamebeba vitu hawatoinuka tena. Je Kwanini? Tamaa inatumaliza nakutufarakanisha na Mungu.

Kipaji cha Gozbert kilimtisha shetani akajuwa udhaifu na tamaa yake akamaliza naye halikuwa gari ila mali za dunia ili amsujudie shetani na kupotea na hilo amefanikiwa kwahiyo dawa haikuwa kurudisha au kuuza chuma chakavu kitu cha laana hakifai ila pia kwakuwa alipiga magoti na hapo ndio kuna shida yupo kwa kifungo Mungu amtetee




Ile kupokea tu alishajiungamanisha na madhabahu ya huyo geordave
 
Back
Top Bottom