Goodluck Gozbert sio mwimbaji wa Gospel

Technically?,,,sounds rounded up don't you recon

Sent using Jamii Forums mobile app

You have failed to give all aspects on what is gospel

Umeshindwa hauna kipimo

Umezaliwa baba na mama wanaimba gospel za muziki wa dansi, gospel ya kikongo na mirindimo ya kikongo

Una onesided brain ambayo umekoma kubadilika


In USA hip hop are in churches

Video ile imeendana na maneno aliyotumia. Nje ya hapo imekula kwako

Tubu tu, Yesu anakushangaa
 
Nafaka,

Na hata nyakati zile walitokea watu kuzipinga....jamii ikazikubali

Nyimbo zetu zote before sounded kama barabara ya 13 ulyankulu😂😂

You can not say.. THAT IS NOT GOSPEL SONG.. unless wewe ni Mungu tu

Author atubu kwenye hili, unless kaambiwa na Mungu
 
Aijalishi upo kwenye imani gani ila kwa Miungu na mitume wote ujumbe ni mmoja tu "Mpende jirani yako kama nafsi yako"....Ukisema unampenda mtu bila matendo si kitu....Matendo ndiyo kipimo pekee...

Sent using Jamii Forums mobile app

Haujampenda Goodluck ndugu

Ushachanganyikiwa sasa

Umesema jambo ambalo alipaswa kusema Mungu tu....umehukumu, umetumia hisia...nyie ndio mnaua watu wenye macho mekundu kwa kudhania wachawi

Unajua how congo music na cheza yake ilivyokamata makanisani? Ukiangalia congolese music nje ya kanisa ikoje?

Wewe Tubu tu

1.kwa kujifanya Mungu.

Kama sio

2.kwa kuhukumu

Kibiblia sioni unachomokea wapi


If all is true bado ulipaswa kuheshimu.. maana Yesu anasema msiponisifu MAWE yatasimama

Somewhere then church failed mpaka huyu kaja na wimbo?? Ziko wapi hizo za ukweli kwenye jamii??

In biblical context basi ni JIWE ambaye kasimamishwa na Yesu.... Still ulipaswa KUHESHIMU

Dogo tubu tu
 
We jamaa hufai...
Nmecheka sana, et unapinga finga stejin
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafaka Gospel haijabadilika kaka ila watu ndio tumebadilika...Gospel ni Injili ya kweli ya Mungu..haijawahi badilika brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekwambia nitajie msanii wa tanzania unayemkubari kuwa anaimba Gospel, halafu tulinganishe style anayoimba na ya miaka ya 50 au 30 tuone kama anaimba sawa na miaka hiyo
 
Kwaya ya Barabara ya 13, Ulyankulu ndiyo ninayoikubali @Nafaka

Sent using Jamii Forums mobile app
Je mahadhi yake yanaendana na hizi niymbo ya miaka 50? Hapo ndipo ujue syle na uimbaji wa gosepl unabadirika.
Kumbuka mwanzo kabisa watu walikuwa wanaimba hata bila vinanda na mapigo ya mziki kwasababu vinanda havikuwepo.
Hata biblia hakuanza kwa kuwa kitabu ilianza kama scrolls tu ikaja kuwa compiled kuwa kitabu.
Usiangalie uwasilishaji bali kile kilichomo
 
Nimekwambia nitajie msanii wa tanzania unayemkubari kuwa anaimba Gospel, halafu tulinganishe style anayoimba na ya miaka ya 50 au 30 tuone kama anaimba sawa na miaka hiyo

Akikujibu ni PM please
 


Imeandikwa: mti mwema hujulikana kwa matunda yake.

Kwa hiyo mwimbaji mwenye wito atajulikana kwa matunda yaani tabia na mwenendo wake wa ndani na nje.

Kuhusu nyimbo kupendwa na wengi hiyo si hoja.

Wingi si hoja.

Hata njia iendayo upotevuni ni pana nao waingiao ni wengi, kwa hiyo nyimbo kupendwa na watu wengi si hoja.

Misingi imeharibika , mwenyehaki hajui afanye nini.

Tujitafakali njia zetu na kuchukua hatua ya mafundisho sahihi.

Imeandikwa: “ninyi mkilishika Neno langu mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli”




Sent using Jamii Forums mobile app
 


Umezungumza myth

Kitoto cha Eliza kiliposikia sauti ya Mariamu kikaruka kwani mariamu alikuwa na mimba ya Yesu

Maana yake, spirit are connected when they are compatible


Ikiwa wakristo wengi wanasikiliza nyimbo zake na kuzipenda na kuzikubali maana yake wako connected


Kuwa wengi hawa wataenda motoni, ni wewe umesema sio bible

Swali ni je hao waimbaji wa kweli ambao wewe unaona wako sahihi wako wapi? Akina nani?

Nyimbo kusikilizwa mpaka virabuni mbona nyingi tu?
 
Hivi huyu dogo si ndio producer Lolipop alietengeneza ule wimbo wa 'bhasi Nenda' au ni watu 2 tofauti??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wewe unampinga Gozbert, Padre huku katokea kuuelewa wismbo wa Roma anataka upigwe church.

Ngoma ikianza jamaa anakwambia "Nipimie short ya Bapa(Konyagi) nizime mada asubuhi nigongee noti niende kuifanya ibada"

Bagwell
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…