Goodluck Gozbert sio mwimbaji wa Gospel

Goodluck Gozbert sio mwimbaji wa Gospel

Gospel haibadiliki brother,,watu ndio tunabadilika...Mungu ni yule yule jana,leo na milele habadiliki hivyo na gospel haijabadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajie wasanii wako unaokubari kwamba wanaimba Gospe? halafu nenda katafte gospel za miaka ya 50 au 40 uone kama wanavyoimba ni sawa na hao
 
Nafaka Gospel haijabadilika kaka ila watu ndio tumebadilika...Gospel ni Injili ya kweli ya Mungu..haijawahi badilika brother.
Nitajie wasanii wako unaokubari kwamba wanaimba Gospe? halafu nenda katafte gospel za miaka ya 50 au 40 uone kama wanavyoimba ni sawa na hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Author, Hao ulowataja wanaimba Gospel, kina mmoja anatumia beat za reggae akishusha mashairi ya kusifu ila umemkingia kifua na kumtaja anaimba gospel. Ukigusa mahadhi ya wanayotumua waimbaji, basi tazama na beat zinazotumika. Ukitumia kigezo hiko. Huu uzi wako utaomba ufutwe
 
Sijazungumzia beat wala vyombo vilivyotumika kwenye wimbo Hassan Mambosasa, wala sijazungumzia aina ya uimbaji. Nazungumzia matendo yaliyopo kwenye wimbo.
Hao ulowataja wanaimba Gospel, kina mmoja anatumia beat za reggae akishusha mashairi ya kusifu ila umemkingia kifua na kumtaja anaimba gospel. Ukigusa mahadhi ya wanayotumua waimbaji, basi tazama na beat zinazotumika. Ukitumia kigezo hiko. Huu uzi wako utaomba ufutwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Author,

Uko wrong

Badili akili ukiweza

Badili mtazamo

Wimbo ni wa gospel, umeamua makusudi kutafuta references zako za miziki ya gospel



Unaweza elezea melody za gospel?? Ni za RC, moravian, wasabato? Lutheran?

Bado uko nyuma na sidhani ni hili tu, kwa vingi
 
Sijazungumzia beat wala vyombo vilivyotumika kwenye wimbo Hassan Mambosasa, wala sijazungumzia aina ya uimbaji. Nazungumzia matendo yaliyopo kwenye wimbo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Matendo anaelezea reality jinga wewe

Kuwa anasinzia ibadani ila nje ya ibada hasinzii na anaomba uponywe shida iko wapi?

Wewe mbona nilidhania ni mzee kama mimi kumbe katoto kajinga jinga
 
Unaniuliza swali ambalo majibu yake unayo... Sijajua lengo lako ni nini, lakini nitakujibu. Jibu la swali la kwanza ni "hapana" na swali la pili jibu ni "hapana" na majibu ya maswali yako yote yanaweza kuwa "ndiyo." Inategemeana na Mungu unayemuabudu anafurahishwa na nini tu. Kama anapendelea uimbe uchi, basi upo sahihi kabisa - Ni gospel hiyo kwa mujibu wa Mungu wako.
Umejibu yote vzr. Mwenye akili atajiongeza kuwa Gospel inayoimbwa ni ya mungu anayemjua yeye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Coaster2015,

Taja mwimbaji wa injili mwenye wito, mmoja tu ambaye hapigi hela

Au kwaya ambayo wajumbe wake wote wana wito 100%

Weka vigezo vya kuwa na wito...na wewe kama binadamu unajuaje? Unless useme hakuna na sio katika hawa tunaowasikia maredioni

Kwa nini hao waliojazwa Roho Mtakatifu wanazipenda? Woote wanaoziimba nao ni wadhambi tu?
 
Chachasteven,

Hana checklist, sababu, criteria, methodology au standard inayosema this is gospel na this js not gospel

Kuna miziki yenye maadhi ya taratibu na vinanda siku hizi zina matusi mwanzo mwisho

Yeye kaangalia mdundo, sio maneno... Kasahau maneno ndio yametengeneza video... Na ndio uhalisia wa maisha tunayoishi
 
H

Hamna gospel pale clouds wanamdanganya akaimbe kwenye fiesta washabiki wameshika mibia mikononi wengine wanabakana,wamevaa vichupi tu gospel gani!..ni staili tu ya kupiga hela
Mungu hakuwaita waliostahili, ila aliwastahilisha alio waita! Na pia, bwana hakuja kwa ajili ya wenye haki,ila alikuja kutafuta kile kilichopotea.
 
Hana checklist, sababu, criteria, methodology au standard inayosema this is gospel na this js not gospel

Kuna miziki yenye maadhi ya taratibu na vinanda siku hizi zina matusi mwanzo mwisho

Yeye kaangalia mdundo, sio maneno... Kasahau maneno ndio yametengeneza video... Na ndio uhalisia wa maisha tunayoishi
Kusema maneno ya Mungu sio lazima iwe Gospel
Hata wachawi hayo wanasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aijalishi upo kwenye imani gani ila kwa Miungu na mitume wote ujumbe ni mmoja tu "Mpende jirani yako kama nafsi yako"....Ukisema unampenda mtu bila matendo si kitu....Matendo ndiyo kipimo pekee...

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe ume mbinafsisha Mungu

Mungu sio wewe!!!!!

Omba toba ndugu

Unakataa wimbo wa Mungu wa feelings zako? Umehukumu sio? Biblia inasemaje?

Yesu alikuja kwa waliopotea,

Neema ya Mungu haina kipimo

Ukikaa chini what you did ni contrary na injili

Kibiblia wewe ni Farisayo
 
Back
Top Bottom