Goodluck Gozbert unaelekea wapi?

mmmmh....! Najaribu kukuelewa ila hao akina nkone, kakobe wanatoka wapi..? Hv unafuatilia injili yao..? Au umeamua tu kubwabwaja....! Waweza ukawa sawa lakini hyo ni kwa mtu asiyelijua vizuri neno la mungu / mwenye wokovu wa kuigiza
 
mmmmh....! Najaribu kukuelewa ila hao akina nkone, kakobe wanatoka wapi..? Hv unafuatilia injili yao..? Au umeamua tu kubwabwaja....! Waweza ukawa sawa lakini hyo ni kwa mtu asiyelijua vizuri neno la mungu / mwenye wokovu wa kuigiza
At least I gat someone kaongea something nltaka kuongea, sijui kama anaelewa alichokiandika
 
mmmmh....! Najaribu kukuelewa ila hao akina nkone, kakobe wanatoka wapi..? Hv unafuatilia injili yao..? Au umeamua tu kubwabwaja....! Waweza ukawa sawa lakini hyo ni kwa mtu asiyelijua vizuri neno la mungu / mwenye wokovu wa kuigiza
Amini nakuambia, ni rahisi kwa wewe kusimama madhahabuni kukubali umekosa, kuliko wachungaji na maaskafu.

usijaribu kunielewa, nielewe, ni hivi Wimbo wa Godluck Gozbert, ili uupende, unataka ujiimbe wewe kuwa u mkosaji, na aina za dhambi alizoziimba, sio dhambi ambazo hard core christians watapenda kujinasbu nazo. japo ukweli wanaujua wao wenyewe,

ila angeimba nafsi ya tatu, anamuimba yule, au hata nafsi ya pili, wewe. ungekuwa ni number one song kwenye mikutano ya injili sasa hivi.
 
Wakuu habari

Hivi hii nyimbo mpya aliyoitoa Goodluck Gozbert ni ya dini au maana sio kwa maudhui Yale kwa upande wa video na audio pia
Mkuu naamini umepagawa na mapigo ya kimuziki ya wimbo ule, nakushauri jaribu kufuatilia kwa makini mashairi ya wimbo ule ule utagundua jamaa wala hajachepuka amebaki njia kuu. Kukariri ndiyo kunakupa taabu jipe Exposure ya kusikiliza nyimbo "MAKOMA" uone jinsi watu wanavyoimba nyimbo za Injili katika njia iliyoboreshwa. Ni katika harakati za kuyatakatifuza ya Dunia.
 
Waungwana Hebu Tuusikie Na Huu.. Halafu Tuseme Mahadhi Yake! Upo Kwenye Rap Version!!

Huu Hapa [emoji116]


 
Labda kuvaa mashati ya vitenge makubwa kama Bony mwaitege au mashat ya zambarau na suruali pana za samawati,kijani na udhurungi[emoji5][emoji4]
Umesahau suti ya rangi ya hudhurungi over size na mashati ya pinki
 
Agent wa shetani
Watakuja na ushawishi mdhani wanamuabudu Mungu wa kweli
' Kizazi hiki hakitapita hata yote yatatimia'
Kuna nini cha ushetani kwenye hiyo video? Nielimisheni tafadhali
 
Ukiwa mlokole unatakiwa kuwa mshamba, hatujazoea jamani
 
Umeongea Mkuu Slowly, wanaomshabikia ni wale wanaosumbuliwa na mapepo ya dunia, lazima wamshangilie kwani hawajui walitendalo, ni kweli anapotea, sasa hivi mtaona anaanza kunywa gongo, mimi niliwahi kuwatahadharisha watu niliokuwa naangalia nao album yake ya kwanza
 
Hatuhitaji kunogesha lolote panapokuja swala la kueneza Injili, hii sio Disco.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…