Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Pixel 3 series ndio the best cameras kwenyr soko kwa sasa despite the fact that simu zina rear camera moja tu.
These guys are the masters of computational photography ila ukitaka the most versatile camera, then Huawei P30 Pro hana mpinzani.

Nategemea Pixel 4 itakuwa na two rear camera moja ikiwa maalumu kwa kuchukua wide angle shots.
MKUU inauzwa milioni mbili na laki nne duuu
 
Google Pixel 3 series ndio the best cameras kwenyr soko kwa sasa despite the fact that simu zina rear camera moja tu.
These guys are the masters of computational photography ila ukitaka the most versatile camera, then Huawei P30 Pro hana mpinzani.

Nategemea Pixel 4 itakuwa na two rear camera moja ikiwa maalumu kwa kuchukua wide angle shots.
P30 pro ndo mashine mjini mpaka sasahv Hana mpinzan
 
kwenye teknolojia ya camera sidhani kama kuna anaemzidi Google..
kampuni zingine zinatoa mpk simu za camera 4 & bado hawamfikii yeye mwenye camera moja!
Sio kwel mkuu fanya utafut waa kutosha ndo uje hapa
 
Back
Top Bottom