ya Samsung galaxy s6,7 na 8?
Me nmepata ya Sony xperia xz1. ila baadhi ya functions hazipoHii haina mkuu...sjaona gcam ya sony yoyote hadi sasa
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Naona hamna cha msingi humu. Ni jina tuYes coz developer hawa support sony mobile....na utakua umepata old version.. kuna hata night sight?
Kama mchana mkuu [emoji1][emoji91][emoji91]Hapo vipi wakulungwa na picha ya usiku tulivu Kwa hisani ya GcamView attachment 1874974
Mambo yako hayo mkuu...! [emoji16][emoji16]Kama mchana mkuu [emoji1][emoji91][emoji91]
Laki 7 na 50,, 6/128Mkuu umenunua shingapi hiyo Samsung a 52 na inaukwa gani ram pamoja na storage
Mkuu iyo imekubali naomba izo configurationGCam Astro Samsung a52
MediaFire is a simple to use free service that lets you put all your photos, documents, music, and video in a single place so you can access them anywhere and share them everywhere.www.mediafire.com
Jarbu hyo..kama itakubali tukupe na configuration file utest
Okey...sasa link za Google drive jf zinazungua...naweka link ya YouTube kweny description utaona link za configuration mbili..moja HDRX nyingine Pro maxMkuu iyo imekubali naomba izo configuration
Nishapakua mkuuOkey...sasa link za Google drive jf zinazungua...naweka link ya YouTube kweny description utaona link za configuration mbili..moja HDRX nyingine Pro max
Utapakua configs zote hizo mbili...ukisha malza njoo hapa nikwambie jins ya kulload configs zako kweny gcam
Sasa fungua gcam yako kisha kwa juu pale utaona kimshare kimeangalia chini,kiguse utaona zinakuja options kibao..chagua settings kisha fungua...ukifungua settings weka screenshot hapa nione options zinazokuja kwakoNishapakua mkuu
HiiView attachment 1875419Sasa fungua gcam yako kisha kwa juu pale utaona kimshare kimeangalia chini,kiguse utaona zinakuja options kibao..chagua settings kisha fungua...ukifungua settings weka screenshot hapa nione options zinazokuja kwako
HiiFungua configs hapo kisha weka screenshot
Mkuu nawezaje piga ultra wide ,macro Katika gcam? Maana kuna mtu kaniambia nikaenable Auxiliary Camera lakini Niki enable hiyo ni kweli options za macro na ultra wide zinakuja Ila nikipiga Tu picha inacrush na apps kujifunga mpaka niki clear data ndo unarudi kufanya kazi....natumia Nikita 7.4 v2[emoji16][emoji16]
Click save hapo utaandika default then click ok...ukishamalza hivyo nenda kweny download folder kule..ka copy zile configs mbili ulizo download...then nenda kweny folder la Gcam lipo kweny file manager yako utaliona...fungua hilo folder ndan utakuta tena folder jipya limendikwa Configs7 lifungue na upaste zile file mbili humo..ukifanikiwa rudi hapa