Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Click save hapo utaandika default then click ok...ukishamalza hivyo nenda kweny download folder kule..ka copy zile configs mbili ulizo download...then nenda kweny folder la Gcam lipo kweny file manager yako utaliona...fungua hilo folder ndan utakuta tena folder jipya limendikwa Configs7 lifungue na upaste zile file mbili humo..ukifanikiwa rudi hapa
Tayari mkuu
 
Mkuu nawezaje piga ultra wide ,macro Katika gcam? Maana kuna mtu kaniambia nikaenable Auxiliary Camera lakini Niki enable hiyo ni kweli options za macro na ultra wide zinakuja Ila nikipiga Tu picha inacrush na apps kujifunga mpaka niki clear data ndo unarudi kufanya kazi....natumia Nikita 7.4 v2
Mkuu kuna kitu unatakiwa ufanye ..inabid ujue Camera ID za simu yako kisha ukaset.manually ni ngumu kidgo kukueleza hiki kitu...

Nitakupa config moja ujarbu naona inakubal wide fresh
 
Tayari mkuu
Haya kafungue sasa gcam yako

Kisha double click eneo la kati kati ya shutter button na gallery utaambiwa choose config...gusa kimshale kidgo kimeangalia chini ili kuona config zako zile...chagua yyte kati ya zile mbili hdrx na pro max kisha piga chagua restore..hapo utakua umeload settings za configuration husika tayar..anzs kupiga picha..uone matokeo ,kisha rudia step ya ku double click pale kati uchague config nyinge.restore kisha piga picha uone nayo matokeo yake..itayokuvutia ndo utumie hyo
 
Click save hapo utaandika default then click ok...ukishamalza hivyo nenda kweny download folder kule..ka copy zile configs mbili ulizo download...then nenda kweny folder la Gcam lipo kweny file manager yako utaliona...fungua hilo folder ndan utakuta tena folder jipya limendikwa Configs7 lifungue na upaste zile file mbili humo..ukifanikiwa rudi hapa
Mkuu oppo vipi A15 yakinyonge inasapot kweli hii kitu au nisubiri nikajichange change
 
Haya kafungue sasa gcam yako

Kisha double click eneo la kati kati ya shutter button na gallery utaambiwa choose config...gusa kimshale kidgo kimeangalia chini ili kuona config zako zile...chagua yyte kati ya zile mbili hdrx na pro max kisha piga chagua restore..hapo utakua umeload settings za configuration husika tayar..anzs kupiga picha..uone matokeo ,kisha rudia step ya ku double click pale kati uchague config nyinge.restore kisha piga picha uone nayo matokeo yake..itayokuvutia ndo utumie hyo
Asante kama kuna changamoto nitarudi
 
Mkuu kuna kitu unatakiwa ufanye ..inabid ujue Camera ID za simu yako kisha ukaset.manually ni ngumu kidgo kukueleza hiki kitu...

Nitakupa config moja ujarbu naona inakubal wide fresh
Shukran mkuu Kuna configuration nimeipata hii imesetiwa automatically,hizo hapo zinaonekana.Sasa hapo Kati ya hizo options Tatu ipi ni wide,macro?
Screenshot_2021-07-31-20-31-39-836_com.google.android.GoogleCameraEng.jpg
 
Shukran mkuu Kuna configuration nimeipata hii imesetiwa automatically,hizo hapo zinaonekana.Sasa hapo Kati ya hizo options Tatu ipi ni wide,macro?View attachment 1875513
Jarbu moja moja uone.. wide uki switch iko wazi tu utaona wideness kweny picha yako..au nenda kweny auxiliary camera kule uone kila camera icon yake kisha utakua ushajua
 
Mkuu nawezaje piga ultra wide ,macro Katika gcam? Maana kuna mtu kaniambia nikaenable Auxiliary Camera lakini Niki enable hiyo ni kweli options za macro na ultra wide zinakuja Ila nikipiga Tu picha inacrush na apps kujifunga mpaka niki clear data ndo unarudi kufanya kazi....natumia Nikita 7.4 v2
I think ukipata config ya simu yako exact inakuja na hizo option zote.

Mfano mimi hapo ilipoandika

0.6x ni Ultrawide angle lens

1x ni Main lens

2x ni Telephoto lens

I have tested kwa kuziba camera mojamoja inakubali.
IMG_20210731_212228.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_2021-07-31-21-20-21-550_org.codeaurora.snapcam.jpg
    Screenshot_2021-07-31-21-20-21-550_org.codeaurora.snapcam.jpg
    14 KB · Views: 2
ntaleta mrejesho
mzee njoo nikuuzie Google pixel 3 kwa 540k full boxed slightly used nje na original accesories zote, camera experience sio ya nchi hii sijui nikuelezeeje hata, jaribu cheki YouTube review ya pixel 3 camera... also ipo Android 12 beta now soon wanaachia official release, hata note 20 au s21 hazina bado android 12 ... nicheki 0693225605
 
mzee njoo nikuuzie Google pixel 3 kwa 540k full boxed slightly used nje na original accesories zote, camera experience sio ya nchi hii sijui nikuelezeeje hata, jaribu cheki YouTube review ya pixel 3 camera... also ipo Android 12 beta now soon wanaachia official release, hata note 20 au s21 hazina bado android 12 ... nicheki 0693225605
Hiyo camera experience inazidi iPhone?
 
Back
Top Bottom