mikumiyetu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 1,312
- 944
Tayari mkuuClick save hapo utaandika default then click ok...ukishamalza hivyo nenda kweny download folder kule..ka copy zile configs mbili ulizo download...then nenda kweny folder la Gcam lipo kweny file manager yako utaliona...fungua hilo folder ndan utakuta tena folder jipya limendikwa Configs7 lifungue na upaste zile file mbili humo..ukifanikiwa rudi hapa
Mkuu kuna kitu unatakiwa ufanye ..inabid ujue Camera ID za simu yako kisha ukaset.manually ni ngumu kidgo kukueleza hiki kitu...Mkuu nawezaje piga ultra wide ,macro Katika gcam? Maana kuna mtu kaniambia nikaenable Auxiliary Camera lakini Niki enable hiyo ni kweli options za macro na ultra wide zinakuja Ila nikipiga Tu picha inacrush na apps kujifunga mpaka niki clear data ndo unarudi kufanya kazi....natumia Nikita 7.4 v2
Haya kafungue sasa gcam yakoTayari mkuu
Mkuu oppo vipi A15 yakinyonge inasapot kweli hii kitu au nisubiri nikajichange changeClick save hapo utaandika default then click ok...ukishamalza hivyo nenda kweny download folder kule..ka copy zile configs mbili ulizo download...then nenda kweny folder la Gcam lipo kweny file manager yako utaliona...fungua hilo folder ndan utakuta tena folder jipya limendikwa Configs7 lifungue na upaste zile file mbili humo..ukifanikiwa rudi hapa
Asante kama kuna changamoto nitarudiHaya kafungue sasa gcam yako
Kisha double click eneo la kati kati ya shutter button na gallery utaambiwa choose config...gusa kimshale kidgo kimeangalia chini ili kuona config zako zile...chagua yyte kati ya zile mbili hdrx na pro max kisha piga chagua restore..hapo utakua umeload settings za configuration husika tayar..anzs kupiga picha..uone matokeo ,kisha rudia step ya ku double click pale kati uchague config nyinge.restore kisha piga picha uone nayo matokeo yake..itayokuvutia ndo utumie hyo
Shukran mkuu Kuna configuration nimeipata hii imesetiwa automatically,hizo hapo zinaonekana.Sasa hapo Kati ya hizo options Tatu ipi ni wide,macro?Mkuu kuna kitu unatakiwa ufanye ..inabid ujue Camera ID za simu yako kisha ukaset.manually ni ngumu kidgo kukueleza hiki kitu...
Nitakupa config moja ujarbu naona inakubal wide fresh
Jarbu moja moja uone.. wide uki switch iko wazi tu utaona wideness kweny picha yako..au nenda kweny auxiliary camera kule uone kila camera icon yake kisha utakua ushajuaShukran mkuu Kuna configuration nimeipata hii imesetiwa automatically,hizo hapo zinaonekana.Sasa hapo Kati ya hizo options Tatu ipi ni wide,macro?View attachment 1875513
I think ukipata config ya simu yako exact inakuja na hizo option zote.Mkuu nawezaje piga ultra wide ,macro Katika gcam? Maana kuna mtu kaniambia nikaenable Auxiliary Camera lakini Niki enable hiyo ni kweli options za macro na ultra wide zinakuja Ila nikipiga Tu picha inacrush na apps kujifunga mpaka niki clear data ndo unarudi kufanya kazi....natumia Nikita 7.4 v2
Hapo ya kushoto ni UltrawideShukran mkuu Kuna configuration nimeipata hii imesetiwa automatically,hizo hapo zinaonekana.Sasa hapo Kati ya hizo options Tatu ipi ni wide,macro?View attachment 1875513
mzee njoo nikuuzie Google pixel 3 kwa 540k full boxed slightly used nje na original accesories zote, camera experience sio ya nchi hii sijui nikuelezeeje hata, jaribu cheki YouTube review ya pixel 3 camera... also ipo Android 12 beta now soon wanaachia official release, hata note 20 au s21 hazina bado android 12 ... nicheki 0693225605ntaleta mrejesho
Hiyo camera experience inazidi iPhone?mzee njoo nikuuzie Google pixel 3 kwa 540k full boxed slightly used nje na original accesories zote, camera experience sio ya nchi hii sijui nikuelezeeje hata, jaribu cheki YouTube review ya pixel 3 camera... also ipo Android 12 beta now soon wanaachia official release, hata note 20 au s21 hazina bado android 12 ... nicheki 0693225605
pixel 3 inazidi iphone xHiyo camera experience inazidi iPhone?
Mkuu samahani kwenye potrait nikipiga picha mbona ile blur kama haipo ivi inakuwa kama picha ya kawaida tu background yake inaonekana tuPoa poa boss
nunua pixel mzee achana na Samsung hata android 9 tu ya 2018 haifikiMkuu Samsung Galaxy s7 nitapata??