azyzy omary
JF-Expert Member
- Dec 8, 2020
- 863
- 1,293
Hapna hakna tatizo IPO vzur Sana t kwa level za cmu zetu hizi bt Kuna kaalama nikigusa ndo naletewa hyo na kila nikipga picha idadi inapungua ya namba hzo Ila iko POA t au Kuna kingn Cha kufanya baada ya kuinstall na kuanza kutumia ??