Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,641
- 4,457
10
Hiyo hapo
SM-G977N
Hii nafkr sio.snapdragon,hebu tuanze na hii kwnazaSM-G977N
Imekubali....Hii nafkr sio.snapdragon,hebu tuanze na hii kwnaza
Pakua iloandikwa ruler.apk
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nimeweka Ila aina quality boss
Kuna issue ya compatibility, hebu piga picha ya stock na gcam kisha weka hapa kwanza kabla hatujaenda kweny settings nijue shida nnImekubali....
Ila naona quality yake inazidiwa na ya simu.
Au kuna settings?
Ndomana nikasema jarbu kwanza hyo..mana hakuna exactly gcam ya hyo simu ndomana nataka twende taratbu,hebu weka picha ya stock kwanza na gcam yako tujue shida ipo wapiNimeweka Ila aina quality boss
Nikumbshe nimekupa gcam ipi?Hata Mimi, naona Camera yangu ya simu inapiga picha Kali kuliko hiyo Gcam. Nahisi kuna settings nazikosea. Ni Oppo Reno5
Nimeziweka hapo chiniNdomana nikasema jarbu kwanza hyo..mana hakuna exactly gcam ya hyo simu ndomana nataka twende taratbu,hebu weka picha ya stock kwanza na gcam yako tujue shida ipo wapi
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Nilidownload tu huko Google....Nikita Eng.
Mkuu ni kweli kuwa gcam ya s10 plus ipo ya exynos na snapdragon. Means zipo tofauti??
Note 10 plus iko njema kweny kila kitu kuzid mi11 liteNnjr ya mada kidogo mtalaam
kcamp
Ivhi kati ya samsung note+ na xiaomi mi 11 lite 5g ne
Ipi iko njemaa sanaa...kuanzia kwenye battery na camera,,,,