Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Mkuu vipi ulifanikiwa kuunganisha mabao? Anyways nakukumbusha huu uzi sio wa brand yoyote kama unavyosema wewe,huu ni uzi wa Google camera,kwaiyo hata ww kwenye Tecno Yako kama unaweza weka GCAM weka..Acha makasiriko

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Unawekaje? Una download application?
 
Redmi note 10
Gcam: Nikita
Conf: iPhone proView attachment 2164034
Hizo Configuration za iPhone unazipata wapi mbona mm sijaziona kwangu

Screenshot_2022-04-01-12-07-36-748_com.google.android.GoogleCameraEng.jpg
 
Sasa kuna ukali gani hapa.
Mnashobokea 'mibrand' ndio maana mnaishiwa kupigwa hela ndefu kununua cm hata uwezo mnaosifia hauonekani.
Mkuu mbona hueleweki kama unalalamika au unaelezea?

Aliekwambia kapigwa hela ndefu ni Nani?

Mwisho kabisa inabidi tu ueshimu Mlengo wa Uzi na kama we huoni huo ukali wa camera za Google tulengeshe unazoona wewe ni Kali
 
Mkuu mbona hueleweki kama unalalamika au unaelezea?

Aliekwambia kapigwa hela ndefu ni Nani?

Mwisho kabisa inabidi tu ueshimu Mlengo wa Uzi na kama we huoni huo ukali wa camera za Google tulengeshe unazoona wewe ni Kali
Na wewe ni walewale tu.
Mmekariri. Hiyo camera yenu inaweza ikaifikia hata robo ya ubora wa hii camera? Unajua nimepiga kwa camera gani.
IMG_20211027_120409_212.jpg
 
Ninatumia oppo a93,nmedownload gcam nikaweka comfiguration lakini camera haifunguki,nikiclear inafunguka kawaida ty ila nikiweka comfiguration tu Inagoma kufunguka.

Nb naweka comfiguration za iphone
 
Back
Top Bottom