Sawa mkuuNote 10 plus iko njema kweny kila kitu kuzid mi11 lite
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Tumia nikita mkuuNaomba Gcam ya redmi note 11 mkuu
Nisaidie direct link mkuu
Mambo yako hayo Mkuu
mkuu nami naomba ya REDMI 10
Pakua iloandikwa eng apkNisaidie direct link mkuu
Pakua iloandikwa eng apkmkuu nami naomba ya REDMI 10
Jarbu hiiMkuu naomba
Link ya gcamera Kwa oppo find X3 neo 5g
Hamna ubalaa wowote. Mnashobokea brand tu!
Sasa kuna ukali gani hapa.
Aisee pole mkuu,shida inakua nnKama kuna mtu anatumia redmi note 9 pro humu
Configure ipi iko poaa kwa gcam,naona nimeweka mpka iphone 12 pro napo ukungu2 tu
Hata naelewa sasa boss
Mkuu vipi ulifanikiwa kuunganisha mabao? Anyways nakukumbusha huu uzi sio wa brand yoyote kama unavyosema wewe,huu ni uzi wa Google camera,kwaiyo hata ww kwenye Tecno Yako kama unaweza weka GCAM weka..Acha makasirikoSasa kuna ukali gani hapa.
Mnashobokea 'mibrand' ndio maana mnaishiwa kupigwa hela ndefu kununua cm hata uwezo mnaosifia hauonekani.