Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Ninatumia oppo a93,nmedownload gcam nikaweka comfiguration lakini camera haifunguki,nikiclear inafunguka kawaida ty ila nikiweka comfiguration tu Inagoma kufunguka.

Nb naweka comfiguration za iphone
Unatumia gcam gani boss?

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…