Unatumia gcam gani boss?Ninatumia oppo a93,nmedownload gcam nikaweka comfiguration lakini camera haifunguki,nikiclear inafunguka kawaida ty ila nikiweka comfiguration tu Inagoma kufunguka.
Nb naweka comfiguration za iphone
A22 haina specific gcam.. labda ufanye kubetNdugu kcamp mi nna Samsung a22, napataje hio kitu ya gcam
Hii haisupport mkuuMkuu me natumia Samsung A10s naomba link
Nilidownload nikita
Configuration nayo umeweka ipi?Nilidownload nikita
SM-G950U
Setting ina haja ya kuipakua?
Inakataa, sijui wapi nakwama!!!
Ngoja kwanza,inatakiwa kwanza tujue s8 hyo ni snapdragon au exynos?Setting ina haja ya kuipakua?
Nitajuaje?Ngoja kwanza,inatakiwa kwanza tujue s8 hyo ni snapdragon au exynos?
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Install cpu z itakuonyesha processor yakoNitajuaje?
Chipset yako ni snapdragon au exynos?kcamp msaada wa gcam ya s10
Sm-g973u