Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,304
- 830
Wee ExpertNote 10 plus iko njema kweny kila kitu kuzid mi11 lite
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Hv Gcam ya Note 9 vp musee wangu,,[emoji1745]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee ExpertNote 10 plus iko njema kweny kila kitu kuzid mi11 lite
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
,Mkuu kwa sasa Google Pixel ni tishio kubwa kwa ubora wa kamera. iPhone anaadabishwa tu!View attachment 1162456View attachment 1162458View attachment 1162459View attachment 1162460View attachment 1162462View attachment 1162464
Duhh mkuu mbona hiyo simu ya mwaka huu kabisa, Yani hii 2022 unatoa kibunda unaenda kumenya Tecno, aisee kweli kipenda roho hula nyama mbichiSawa, sisi wa tecno tumeshanyoosha mikono juu.
Naomba app ya camera itakayonipa picha nzuri, natumia tecno POP 5 pro ya 4G
Kwan haipo sawa.?Duhh mkuu mbona hiyo simu ya mwaka huu kabisa, Yani hii 2022 unatoa kibunda unaenda kumenya Tecno, aisee kweli kipenda roho hula nyama mbichi
Iko sawa Mkuu as long as mtumiaji umeridhikaKwan haipo sawa.?
Simu iko vizuri ila camera, daah wameniangusha sanaIko sawa Mkuu as long as mtumiaji umeridhika
Ndomana me nimeshangaa kununua hiyo simu, kwa sababu ukitoa sifa ya ukubwa wa battery Tu bado ina uzamani mwingi sana Kwa simu inayotoka mwaka 2022, Kuna simu nyingi sana huu mwaka zenye thamani ya hiyo Tecno ila boraSimu iko vizuri ila camera, daah wameniangusha sana
Daah maamae umeongea sahihi boss, mm mwnyw niliinunua mana ilkuwa mpya sokoni pamoja na video za YouTube ndo zikanipa nguvu ya kuinunua, kwa upande wangu simu iko vzr kila mahali ila hapo kwenye camera tuu ndo wamechefuaNdomana me nimeshangaa kununua hiyo simu, kwa sababu ukitoa sifa ya ukubwa wa battery Tu bado ina uzamani mwingi sana Kwa simu inayotoka mwaka 2022, Kuna simu nyingi sana huu mwaka zenye thamani ya hiyo Tecno ila bora
Na kama saiz unasema camera haikufurahishi basi jipe muda kidogo ata hicho kidogo ulichonacho kitapotea, simu za infinix na Tecno waga ubora wa camera unapotea kadri siku zinavozidi kwenda
Pamoja Mkuu we enjoy upyaDaah maamae umeongea sahihi boss, mm mwnyw niliinunua mana ilkuwa mpya sokoni pamoja na video za YouTube ndo zikanipa nguvu ya kuinunua, kwa upande wangu simu iko vzr kila mahali ila hapo kwenye camera tuu ndo wamechefua
😂😂 Sisi n special caseYani nyie sjui tuwasaidiaje ndugu zetu [emoji23]
Mkuu nahitaji GCAM ya s8 plus ni Snapdragon Version.Inasumbua hii
Mkuu nina sumsung M12 naomba link