[emoji23]bora, angekua dume ningekushauri umuue
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ila kafubaaa...tenga bajet
Sio kweli unatumia huwawei gani?!Tatizo simu za huawei hazina fast charging, simu unachaji masaa matatu
Ila kwenye kamera wako vizuri
Ndio nilikuwa nataka kumwambia kitu hicho hicho..... Kuwa hizi huwawei za sasa zipo tofauti sana.....mkuu utakua unaongelea huawei za zaman na zile za bei chee,mawe yote yana fast charge tena ya fasta sana
Hiyo ni mtk processor, hamna kitu hapoPia mkuu kwa android 8.1 mbona haifanyi kazi ..??
Mimi natumia OPPO A3S
Mkuu sjui namna ya kuitumia maana naigusa hapo inaganda tu sio nielekeze mkuu inatumiwaje
Ila kafubaaa...tenga bajet
angekua muimba taarabu[emoji23]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Usiache kumlisha mkuuSio paka wanhu mzee, mama yke alikufa nikawa Nampa chakula, na paka ukimlisha ni Kama unaingia mkataba wa kumlisha milele
Ko nikaacha, but ndo kimenizoea
Sent using Jamii Forums mobile app