kcamp
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 8,517
- 7,984
- Thread starter
- #1,321
Sikumbuki ni post namba ngapi mkuu..rudi nyuma kidogo utaikuta link aliweka jamaa..sio mim
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoka kuangalia mechi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwa kuweka hapa ila kinachotokea ni kwamba usoni kunakua na ublack flani hiv.
Mkuu we umeipata na inafanya kazi vizur!? Naomba link nami niichukue nina a30
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashindwa kuweka hapa ila kinachotokea ni kwamba usoni kunakua na ublack flani hiv.
Nb:sikufanya setting yeyote baada ya ku install
Inaandika there is a problem parsaing the product
Inaandika there is a problem parsaing the product
Nina 9
Ya kwanza shot on stock ya pili kwa gcam simu lg g7thinqView attachment 1302913View attachment 1302914
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona kwenye s8plus yangu sion maajabu jaman au wanaangalia sura?embu naomba link ya kuaminika maana nachukia sasa[emoji2955][emoji2955]
mbingu na ardhi[emoji23][emoji23][emoji23]Ya kwanza shot on stock ya pili kwa gcam simu lg g7thinqView attachment 1302913View attachment 1302914
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu piga picha naww kama jamaa wa lg hapombona kwenye s8plus yangu sion maajabu jaman au wanaangalia sura?embu naomba link ya kuaminika maana nachukia sasa[emoji2955][emoji2955]