Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Hapana..mkuu...mpaka sasa hakuna..na ingekuepo basi ungeona developers wanaport hiyo camera ya simu kweny simu zingine...google peke yake ndio mweny camera iliyo ported kwa simu zingine zote...imagine mpka one plus kaanza kuiwekea limitation gcam kweny update mpya..na watu wakwawashia moto kweny forum yao..waache ukuda watoe limitations[emoji16][emoji16]

Ukiona gcam haijatoa picha nzuri jua setting zako hazipo vzr...au gcam hiyo sio nzur kwa simu yako...ndiomana kuna configs files skuiz kwaajil ya setting nzur kama huwez kuiset mwenyew...

Mpaka sasa hakuna stock inafanya maajabu ya gcam

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu,hapo kwenye settings ndo mtihani Kwa watu wengi....
Mtu anaiweka akidhan atapiga picha nzur anasahau anatakiwa aitwist
 
Upo sahihi mkuu,hapo kwenye settings ndo mtihani Kwa watu wengi....
Mtu anaiweka akidhan atapiga picha nzur anasahau anatakiwa aitwist
Yes mzee..na ina setting kibao[emoji3]

Uzur skuiz kuna gcam zenye configs...hii inakua rahis una download configs unaload kwako unapata zile best setting

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
Camera ya 108mp na 48mp tofauti yake ni ipi inayoonekana kwa mtumiaji wa kawaida?
Kinacho matter zaidi ni size ya sensor. Ndio maana unakuta 48MP zingine zinazidiwa quality na 12MP sensors. Kma camera ya 108MP itakua na sensor size ndogo kuliko ya 48MP, hyo 48MP itakua na quality nzuri ila resolution ndogo.
 
Back
Top Bottom