Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

The best Gcamera App me naona ni hawa jamaa wa LMC helena.
Inategemea na simu,LMC wazur, lakin kuna Nikita mnyama sana,BSG nayo makini sana,kuna Shamim saiz nae anasumbua,yuko na mpaka HI RES ,unapiga picha kweny mp zote za simu.. Greatness nae mzur,yeye ana sunset mode,hakuna kweny gcam yyte zaid yake.

Kwaiyo gcam zipo nying nzur tu depend na simu yako na features,ila hao juu ni the best
 
Inategemea na simu,LMC wazur, lakin kuna Nikita mnyama sana,BSG nayo makini sana,kuna Shamim saiz nae anasumbua,yuko na mpaka HI RES ,unapiga picha kweny mp zote za simu.. Greatness nae mzur,yeye ana sunset mode,hakuna kweny gcam yyte zaid yake.

Kwaiyo gcam zipo nying nzur tu depend na simu yako na features,ila hao juu ni the best
Simu yangu inakubali zote sema kwa LMC ndio noma zaidi hizi nyingine nishaweka sana naona picha zake za kawaida.
 
Simu yangu inakubali zote sema kwa LMC ndio noma zaidi hizi nyingine nishaweka sana naona picha zake za kawaida.
Anhaa basi poa humo,mim namtumia nikita sana,pia Shamim kwaajil ya HIRes,bsg nayo ipo pemben hapa [emoji2]
 
Inategemea na simu,LMC wazur, lakin kuna Nikita mnyama sana,BSG nayo makini sana,kuna Shamim saiz nae anasumbua,yuko na mpaka HI RES ,unapiga picha kweny mp zote za simu.. Greatness nae mzur,yeye ana sunset mode,hakuna kweny gcam yyte zaid yake.

Kwaiyo gcam zipo nying nzur tu depend na simu yako na features,ila hao juu ni the best
Pia mkuu naomba na link ya Redmi note 10 pro nimetumia moja inapiga sema ina crush sana
 
Najikuta tu nashindwa kutumia simu nyingine tofauti na Iphone..kuna app haza za kikaz nazikosa ktk Apple lakini nitakua na Tecno au Infinix as a side Phones lakn kazi ikiisha basi hua nnaziweka pembeni
 
Back
Top Bottom