Google docs and sheets kwangu imeanza kuwa bora zaidi ya MS office

Google docs and sheets kwangu imeanza kuwa bora zaidi ya MS office

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Mara nyingi uwa naweza kuwa nafanya kazi nikasahau kusave nijikuta mara softare imefreeze, nimepoteza kazi kubwa niliyokuwa nimefanya. Ila mara kibao nikiwa nafanya kazi na wenzetu mara nyingi wana prefer tutumie google docs/sheets ili waweze kutrack progress ya kazi. Uzuri ni cloud service hivyo kila unachofanya kinakuwa saved huwezi kipoteza. Sasa slowly by slowly nimejikuta naanza kuipenda ila nahisi nitahamia jumla hata office niondoe kwnye PC yangu.

Leo nimekasirika sana, kuna spread sheet nilikuwa naziandaa, nimefanya kazi kwa zaidi ya lisaa bila kusave. Nikaja paste data flani, Excel ikawa ghafla not responding, mara ikajifunga. Kuifungua ikanirudsha kazi ya nyuma kabisa ya mwanzo mwanzo. Nimehisi kupoteza uhai.

Na kila nikitaka paste ikawa inasumbua. Nikaona isiwe tabu, nikaimport ile spreadsheet kwenye google docs, nikaendelea fanya kazi mpaka nimemaliza spreadsheet zangu vizuri tu. Kisha nikazi export Xlsx na kumtumia mhusika.

There is beauty in simplicity.
 
Hebu nishawishi zaidi nione kama naweza hamia huko..
Mkuu ni nzuri ila inahitaji muda wote uwe na internet wakati ukifanya kazi for saving. Kwangu mimi ni poa tu maana PC yagu iko online 24/7
 
Hiyo Google Doc/Sheet ipo kama Excell..katika functionalities yake.?

Pia kuna future zote zifananazo na full package ya MS...?
 
Google docs nakumbuka nilikua naitumiaga kwenye OCR, ila hata mimi naona kwa mtumiaji wa desktop akitumia docs kazi zake ni salama sana endapo umeme ukikatika
 
Hiyo Google Doc/Sheet ipo kama Excell..katika functionalities yake.?

Pia kuna future zote zifananazo na full package ya MS...?
Ndiyo mkuu ina functionalities kama za excel. Sijaona jambo lolote ambalo unaweza shindwa fanya kwenye google docs/excel
 
Google docs nakumbuka nilikua naitumiaga kwenye OCR, ila hata mimi naona kwa mtumiaji wa desktop akitumia docs kazi zake ni salama sana endapo umeme ukikatika
Mimi natumia laptop, ila nimeipenda. Kwanza inawapa uwezo watu wawili kufanyia kazi hata zaidi kamamnaeditdocument kufanya kazi kwa wakati mmoja hata mkiwa nchi tofauti na matokeo kila mmoja anyaona instantly yakifanyika.
 
Vyema Sanaa Kaka

Ngoja ntacheki maana Juz nlikuwa na kazi ya excel nimefanya kwenye laptop yangu siku save Kwa muda wa masaa kama matatu hivii na uku najipa Moyo ntasave maana Pc ilikuwa na Charge ya kutosha.

Bhanaaa nikaibebeba kama kuchukua karatasi Ile kitendo cha kuibeba ikazimika pap..!!!

Nlicho fanya nikaenda kulala basiii
[emoji24][emoji24][emoji24]
Na Lugha zote za matopeni
 
Mimi natumia laptop, ila nimeipenda. Kwanza inawapa uwezo watu wawili kufanyia kazi hata zaidi kamamnaeditdocument kufanya kazi kwa wakati mmoja hata mkiwa nchi tofauti na matokeo kila mmoja anyaona instantly yakifanyika.
Hiyo si mpaka wote mtumie email moja lakini?
 
mkuu unatumia office gani? tuanzie hapa, makampuni siku hizi yanahama google docs yanarudi office, ukitoa sababu kwamba google doc ni bure sidhani kama kuna kitu unaweza fanya kwenye doc na office huwezi fanya.
 
Mimi natumia laptop, ila nimeipenda. Kwanza inawapa uwezo watu wawili kufanyia kazi hata zaidi kamamnaeditdocument kufanya kazi kwa wakati mmoja hata mkiwa nchi tofauti na matokeo kila mmoja anyaona instantly yakifanyika.
hii pia ipo kwenye office
 
mkuu unatumia office gani? tuanzie hapa, makampuni siku hizi yanahama google docs yanarudi office, ukitoa sababu kwamba google doc ni bure sidhani kama kuna kitu unaweza fanya kwenye doc na office huwezi fanya.
office 2015
 
office 2015
Kwa uelewa wangu hakuna Office 2015, huwa zinatoka kila miaka 3 2007, 2010, 2013, 2016, 2019 etc.

Office za miaka ya karibuni zote iki crash, umeme ukikatika ama kukitokea tatizo, ukija kufungua inaanza pale pale

Pia zipo office ya cloud, inaitwa Office 365 ambayo ni more advanced zaidi.
 
Kwa uelewa wangu hakuna Office 2015, huwa zinatoka kila miaka 3 2007, 2010, 2013, 2016, 2019 etc.

Office za miaka ya karibuni zote iki crash, umeme ukikatika ama kukitokea tatizo, ukija kufungua inaanza pale pale

Pia zipo office ya cloud, inaitwa Office 365 ambayo ni more advanced zaidi.
Ni 2016
 
Nenda file kisha info kisha manage version halafu recover unsaved file.

Alternative visit hii path
C:\Users\USERNAME\AppData\Roaming\Microsoft\Excel or Word or PowerPoint.
 
Nenda file kisha info kisha manage version halafu recover unsaved file.

Alternative visit hii path
C:\Users\USERNAME\AppData\Roaming\Microsoft\Excel or Word or PowerPoint.
asante mkuu nitafanya hivyo... Mungu akubariki.
 
Umetoa sababu dhaifu ya ku save document just in case software imefreeze.

Nijuavyo mie ikitokea hali kama hio basi ukifungua tena document yako utakuta option kushoto ya document ambayo unaweza ku recover.
 
Naipenda sana Google Doc kwa mimi ambaye kazi zangu ni stationery imenirahisishia shughuki ya kutype kutoka 5 minutes per A4 page mpk 120 sec per page kwa kutumia voice typing (ctrl+shift+s).
Google docs naipata kwa urahisi haiitaji ku install software ni kufungua google chrome browser tu.
Google docs ni bure.
Google docs ni very simple and intuitive kuliko microsoft chrome.
Google docs iko na good Machine learning. Wakati una type kwa pembeni unaweza kuona different reference za kile unachokitype)
Google docs ni clouds based ina save papopapo kila unachokitype.
 
Back
Top Bottom