Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
- Thread starter
- #21
Hii hafanyi kazi muda wote, sometimes unaikuta lakini haikurudishi kwenye latest update uliyokuwa umefanya unaweza kuwa umefanya mpaka page ya 120 ikarecover mpaka 90.Umetoa sababu dhaifu ya ku save document just in case software imefreeze.
Nijuavyo mie ikitokea hali kama hio basi ukifungua tena document yako utakuta option kushoto ya document ambayo unaweza ku recover.