Gor Mahia FC Vs Al Ahly FC : CAFCL | Football Torturing.

Gor Mahia FC Vs Al Ahly FC : CAFCL | Football Torturing.

Rabboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
1,096
Reaction score
1,588
Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.

Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly.

Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona kabisa aina ya uonevu wanaokwenda kukutana nao kwa Al Ahly.

Hii michuano haina malengo mazuri na timu zinazojitafuta.

Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.
 
Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.

Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly.

Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona kabisa aina ya uonevu wanaokwenda kukutana nao kwa Al Ahly.

Hii michuano haina malengo mazuri na timu zinazojitafuta.

Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.
🤣🤣🤣 aiseee kujipata syo rais goja tusubr wanaweza wakauwangusha mti kwa kungata na meno
 
Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.

Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly.

Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona kabisa aina ya uonevu wanaokwenda kukutana nao kwa Al Ahly.

Hii michuano haina malengo mazuri na timu zinazojitafuta.

Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.

Nipo na al ahly

Piga hao wañaovuruga amani ya nchi
 
Back
Top Bottom