Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah hahaaa, mimi nawaza atapigwa tatu😄Al ahly ni mstaarabu sana..hanaga tabia ya kuzifunga timu goli nyingi.
Gormahia atatoa sare kenya. Ila misri atafungwa 2 - 0 tu.
Gor mahia Atatoka kwa kujisifia ametolewa kiume
Wakikutana na timu kama Simba au Azam Watakula mvua yakutosha kabisa.Al ahly ni mstaarabu sana..hanaga tabia ya kuzifunga timu goli nyingi.
Gormahia atatoa sare kenya. Ila misri atafungwa 2 - 0 tu.
Gor mahia Atatoka kwa kujisifia ametolewa kiume
Aise, na iwe hivyo watolewe kabisaNi kweli, nimecheki mpira wao. Hawa watapigwa goli nyingi sana na Wale Mafarao
Ni kweli hawana tabia yakuua mende kwa nyundoDah hahaaa, mimi nawaza atapigwa tatu😄
kichapo dabo daboNimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.
Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly.
Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona kabisa aina ya uonevu wanaokwenda kukutana nao kwa Al Ahly.
Hii michuano haina malengo mazuri na timu zinazojitafuta.
Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.
Wakikutana na timu kama Simba au Azam Watakula mvua yakutosha kabisa.
Hakuna namna, this time imekuwa bahati mbaya sana kwao kwa kweliAise, na iwe hivyo watolewe kabisa
Nakubaliana na weweAu Pamba jiji tu anamla nyingi
Gormahia kwa Ahly hata mechi zote mbili wangecheza Kenya habari ingekuwa ile ile tuMbaya zaidi wanaanzia nyumbani, wanahitimishia ugenini.
Bado wanakamwendo kwa kweli.
We jamaa..🤣🤣Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.
Maajabu hao El Merreikh ni mabonge hasa!! kuna yule straiker wao ni kijeba huyo balaa sanaMimi nilivyoona el Merreikh wamefungwa goli tano nikajua El Merreikh ile yenyewe yenyewe nikasema Gormahia wamejipata. Kule kawafunga wale wanakotoka Zalan fc
Ndio hali halisi.We jamaa..🤣🤣
mimi nitaitisha mgomo waache huo mchezo mende akikuzoea atakufuata kitandani. wapige nyundo watazoeaNi kweli hawana tabia yakuua mende kwa nyundo
Mwakani kwa bahati mbaya wanaangukia Simba au Yanga, at least wanaweza kupata ahueni ila kutoboa ndio bado kabisaGormahia kwa Ahly hata mechi zote mbili wangecheza Kenya habari ingekuwa ile ile tu
Mwendo wameumaliza hao wajipange mwakani tena
Wanatabia flani hivi yakutotaka kutumia nguvu nyingi kwenye michezo yaomimi nitaitisha mgomo waache huo mchezo mende akikuzoea atakufuata kitandani. wapige nyundo watazoea
yaanii mchezo nyundo hata akiwa sisimizi
Ninachowapendea Al Ahly ni hiko, hawapendi kujichosha bila sababu. Wanacheza kwa malengo, yakitimia wanatulia. Tunabaki kusema ni unga, mwisho wa siku makombe wanabeba wao.Al ahly ni mstaarabu sana..hanaga tabia ya kuzifunga timu goli nyingi.
Gormahia atatoa sare kenya. Ila misri atafungwa 2 - 0 tu.
Gor mahia Atatoka kwa kujisifia ametolewa kiume