Sio msimu huu wala msimu ujao.Msiwacheke sana, hao wametuzidi rank za FIFA pamoja na kuwa walifungiwa muda mrefu. Kenya wakikaa vizuri, Simba na Yanga zitapata ushindani wa kweli kwa ukanda huu.
For the last two season Watanzania wamewapa funzo zuri tuNinachowapendea Al Ahly ni hiko, hawapendi kujichosha bila sababu. Wanacheza kwa malengo, yakitimia wanatulia. Tunabaki kusema ni unga, mwisho wa siku makombe wanabeba wao.
Wanafurahisha sana.Mimi nilivyoona el Merreikh wamefungwa goli tano nikajua El Merreikh ile yenyewe yenyewe nikasema Gormahia wamejipata. Kule kawafunga wale wanakotoka Zalan fc
Kwa nini 2 seasons na siyo 5?For the last two season Watanzania wamewapa funzo zuri tu
We are now coming....Kwa nini 2 seasons na siyo 5?
Sema kwenye mpira wa miguu ngazi ya vilabu, Wakenya wenyewe wanatukubali kuwa tumewaacha mbali. Hilo naona wansonesha kabisa kukubaliWanafurahisha sana.
Hawana mpira wowote ule!!
Kuna mdau hapo juu anadai wanajidai na kingereza chao tuSema kwenye mpira wa miguu ngazi ya vilabu, Wakenya wenyewe wanatukubali kuwa tumewaacha mbali. Hilo naona wansonesha kabisa kukubali
Gor Mahia, rest in peace our dear brothers! Kiufupi tu hamna uwezo wa kuwatoa Al Ahly (Bingwa mtetezi)!! Al Ahly is not Marathon or Gen Z, ok?Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.
Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly.
Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona kabisa aina ya uonevu wanaokwenda kukutana nao kwa Al Ahly.
Hii michuano haina malengo mazuri na timu zinazojitafuta.
Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.
Walitutukana sana na medali zao za MarathonGor Mahia, rest in peace our dear brothers! Kiufupi tu hamna uwezo wa kuwatoa Al Ahly (Bingwa mtetezi)!! That is not Marathon, ok?
Dah hahaaa, mimi nawaza atapigwa tatu😄
Wapeni moyo tu mwenzie saint George alikula aggregate ya 7-0 msimu uliopita. Inabidi wacheze kwa kupunguza magoli, kuna timu inaitwa Atlabara ilipigwa 13 na hao hao Al Ahly.Al ahly hana tabia ya kukomoa timu nyonge.. ameshaona haina faida yoyote. Hivyo huwa hajishoshi kumfunga mtu goli nyingi...yeye anaweka nguvu kwenye kubeba kombe lenyewe tu
Nyie ni hewa 🤣Bora tukikutana na team ya Tanzania tunaipiga. Iyo ndio faraja yetuView attachment 3079845
nitashabikia al ahly. kwa moyo safi.Nimepitia highlight ya game ya Gor Mahia vs El merreik ya South Sudan.
Wakenya walishinda 5-1, wakafuzu kwa hatua ya pili ya mtoano ili waweze kuingia makundi.
Wanakutana na bingwa mtetezi na Bingwa mara nyingi zaidi katika CAFCL Al Ahly.
Ukiwatazama namna hawa wakenya wanavyocheza unaona kabisa aina ya uonevu wanaokwenda kukutana nao kwa Al Ahly.
Hii michuano haina malengo mazuri na timu zinazojitafuta.
Asanteni Wakenya kwa kujaribu, Mwendo mmeumaliza.
Majirani unawasweka mbali sionitashabikia al ahly. kwa moyo safi.
Basi ume enjoynitashabikia al ahly. kwa moyo safi.
🤣🤣🤣Gor Mahia, rest in peace our dear brothers! Kiufupi tu hamna uwezo wa kuwatoa Al Ahly (Bingwa mtetezi)!! Al Ahly is not Marathon or Gen Z, ok?