Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Limuingie huyohuyo pepo..[emoji23]
Haya maombezi yakomee hapa maana..[emoji1787][emoji1787]
Wewe ni mkongwe!Hata me nazipenda za zamani
Tumaini shangilieni choir nyimbo zote
Victory singer's-geuza macho, hati ya mashitaka
Ukyankulu
Cosmas chidumule
Fanuel sedekia
Mine too.My forever tune
Ila usije kunisema maana atakuja hapa kafura Kama kobokoNimecheka kwa sauti mpaka stuff wananishangaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah hapana mkuu hizo nyimbo nimezijulia kwa dada zangu[emoji4]Wewe ni mkongwe!
Mungu akubariki sanaHahahah hapana mkuu hizo nyimbo nimezijulia kwa dada zangu[emoji4]
Hahahahha Mimi ni kibabu mamviMkuu weye ndo huyo..??
Ameen[emoji120]akubariki piaMungu akubariki sana
Humu vyombo vimekung'utwa bhana..