HahahahSasa kwenye hili tamasha inabidi kiba aende na Kalapina "asiye husika na show ashuke"
Lini hiyo mkuuToo bad. Simu yangu haisapoti kuweka hapa. Ila wezi cheki kupitia hii link youtube
Assume hii kitu ingefanyika tz na akifanya makonda...Gavana Joho yupo juu ,ODM namba two.
Hahahaaa uwii na kumbe alitukana juu,chid was he high ama vipi? Ila nimecheka sana.ThanksToo bad. Simu yangu haisapoti kuweka hapa. Ila wezi cheki kupitia hii link youtube
Hahah Pina huwa hapendi ujinga.Hahahaaa uwii na kumbe alitukana juu,chid was he high ama vipi? Ila nimecheka sana.Thanks