GPA kubwa now hazina umuhimu sana

GPA kubwa now hazina umuhimu sana

Ni maneno ya mkosaji tu, wewe kama ni kilaza usitafute justification hapa. Deep inside inferiority complex inakutesa sana, kiufupi wenye GPA za chini wengi vilaza tu, usitegemee utapata kazi za maana na gpa yako ya manati, labda huko halmashauri.

Vijana chuoni nawambieni kazaneni piga GPA kali uwe the best, mimi mpaka hapa maisha safi kabisa tena maisha matamu sababu ya ufaulu wangu wa chuo.

Hakuna sehemu watamuacha mtu wa GPA kubwa eti wakuchkue wewe na 2.8 yako. Never
Ulipiga GPA ya ngapi mkuu embu tujuze asee
 
Nikifikiria jinsi ninavyofundisha vizuri,language skill ya kutosha kabisa na fluency yenye adabu lakini siwezi kuomba u lecturer kwa sababu ya GPA huwa naumia sana.haimanishi wenye GPA ndogo ndo wenye akili,na wote wenye kubwa nizamichongo
Kwani u lecturer wanataka GPA ya ngapi mkuuu
 
Nakumbuka huu utopolo tulikuwa tunadanganyana enzi zile tukiwa Chuo eti GPA kubwa haina maana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani eti usifaulu saana utaonekana umekariri au sijui kule kazini wanataka waone vitendo sio makaratasi like seriously? Watu wote wenye fikra za aina hii ni wajinga wa Kiwango cha Lami kwa sababu Nani atakupa nafasi Uoneshe Uwezo wako ikiwa hauna Kigezo kikuu ambacho ni Ufaulu?? Hivyo vitendo vyako vya kuproove wewe ni Bora kuliko mwenye GPA kubwa utavioneshea WAPI?

Ewe Mwanafunzi uliyepo Chuoni Muda huu nisikilize Mimi Kaka ako! Fanya kila liwezekanalo iwe Kwa chabo, Rushwa, wizi, Kukesha, Kukariri jitahidi Upate GPA kubwa tena likitokea Gape la kupata GPA ya 5 labda kwa Chabo au connection wewe pita Nayo tu usiangalie Nyuma Utakuja kunishukuru Baadae! Usije ukaogopa eti ooh Watanishtukia sina ujuzi, Wewe pita nayo tuu huku kazini kuna Trainings hauanzi kazi kimbuzi mbuzi tuu, janja janja zipo nyingi wewe hakikisha Unajitengenezea mazingira mazuri ya kupata kazi mengine utajua mbeleni[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
I wishi ningejua haya kabla sijamaliza masomo , wengi naowafahamu wenye GPA zao wanakula maisha tu
 
I wishi ningejua haya kabla sijamaliza masomo , wengi naowafahamu wenye GPA zao wanakula maisha tu
Ngoja nipambanie kombe tena nipo mwaka wa 1 haaa Mungu anisaidie tu 🤗🤗🤗
 
kila siku huwa nawaambia wadogo zangu na wanafunzi wangu kwamba fanya ufanyalo upate GPA kubwa.

Hata kama hujui kuchukua history kwa mgonjwa......wewe pata GPA kubwa pita vile......kwa njia yoyote ile hata kama ni kwa kumpa lecturer pesa wewe mpe tu ili upate GPA kubwa.

Mambo ya huku kazini.....mkija huwa tunaanza na nyie upya na maseminar kibao.....hapo utachangamka na utacope tu......WADOGO ZANGU WA JAMII FORUM MLIOPO VYUONI PATENI NARUDIA PATENI GPA KUBWA......itawasaidia sana.
 
kila siku huwa nawaambia wadogo zangu na wanafunzi wangu kwamba fanya ufanyalo upate GPA kubwa.

Hata kama hujui kuchukua history kwa mgonjwa......wewe pata GPA kubwa pita vile......kwa njia yoyote ile hata kama ni kwa kumpa lecturer pesa wewe mpe tu ili upate GPA kubwa.

Mambo ya huku kazini.....mkija huwa tunaanza na nyie upya na maseminar kibao.....hapo utachangamka na utacope tu......WADOGO ZANGU WA JAMII FORUM MLIOPO VYUONI PATENI NARUDIA PATENI GPA KUBWA......itawasaidia sana.
Asante
 
kila siku huwa nawaambia wadogo zangu na wanafunzi wangu kwamba fanya ufanyalo upate GPA kubwa.

Hata kama hujui kuchukua history kwa mgonjwa......wewe pata GPA kubwa pita vile......kwa njia yoyote ile hata kama ni kwa kumpa lecturer pesa wewe mpe tu ili upate GPA kubwa.

Mambo ya huku kazini.....mkija huwa tunaanza na nyie upya na maseminar kibao.....hapo utachangamka na utacope tu......WADOGO ZANGU WA JAMII FORUM MLIOPO VYUONI PATENI NARUDIA PATENI GPA KUBWA......itawasaidia sana.
Sisi tulikuwa tunadanganyana kuwa wadada ndio inabidi wafaulu sana
 
Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Connection matters alot
 
Ni maneno ya mkosaji tu, wewe kama ni kilaza usitafute justification hapa. Deep inside inferiority complex inakutesa sana, kiufupi wenye GPA za chini wengi vilaza tu, usitegemee utapata kazi za maana na gpa yako ya manati, labda huko halmashauri.

Vijana chuoni nawambieni kazaneni piga GPA kali uwe the best, mimi mpaka hapa maisha safi kabisa tena maisha matamu sababu ya ufaulu wangu wa chuo.

Hakuna sehemu watamuacha mtu wa GPA kubwa eti wakuchkue wewe na 2.8 yako. Never
Ulisomea nini chuoni?
 
GPA inayo zungumziwa hapa ni ya mwaka wa mwisho semister ya mwisho. Siyo ya mwaka wa kwanza au pili semister yoyote?
 
Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Huu ushauri wa kupuuzia GPA msiuchukue wakuu.
Watu wanapata nafasi za Instructor, Tutor, Tutorial Assistant, Curriculum Designers, Research Assistant kwenye taasisi za elimu ya juu kupitia Sekretarieti ya Ajira kwa kigezo cha GPA kuanzia 3.5+ au 3.8+.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 
Huu ushauri wa kupuuzia GPA msiuchukue wakuu.
Watu wanapata nafasi za Instructor, Tutor, Tutorial Assistant, Curriculum Designers, Research Assistant kwenye taasisi za elimu ya juu kupitia Sekretarieti ya Ajira kwa kigezo cha GPA kuanzia 3.5+ au 3.8+.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Well said
 
Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Hii inferiority complex na Fixed mindset ya kusema GPA kubwa hazina inshu ni ya ovyo kuwahi kutokea duniani.

Kama GPA kubwa hukuipata ni wewe, usijaribu kuuaminisha umma kuwa kutafuta GPA kubwa ni nonsense, you will be absolutely wrong.

Kama GPA kubwa sio deal, chuo cha nini Sasa? Yaani uende chuo kusoma then, useme mimi sisomi ili nipate GPA kubwa, are you serious?,,, Si bora ubaki nyumbani uuze Ice cream za ukwaju!. You will be wasting your time for nothing.

Kama uko chuo soma, Tena soma haswa, ndo kazi iliyokupeleka kule, hujaenda chuo kuuza SURA, uko Chuo Kwa mission moja tu, nayo ni kusoma.

Ushauri wangu kwa Continuous wote mlioko Chuo, Don't be Idiot to claim that having a great GRADE POINT AVERAGE "GPA" is Scam. Sio kweli, Push it harder to improve your performance, achana na mindset za upotoshaji You will thank me later.

Kama una uwezo wa kupiga kitabu just do it, show it and make it happen. That's.

#MyCountryPeople[emoji1241].
 
Back
Top Bottom