GPA kubwa now hazina umuhimu sana

GPA kubwa now hazina umuhimu sana

Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri

Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.

Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?

Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.

Tuache kuaminisha vijana walioko vyuoni au wanaotegemea kwenda vyuoni mambo ya hovyo. GPA kubwa ni muhimu tena muhimu haswa!

Swala la kazini mtu mwenye gpa kubwa kuwa na utendaji kazi mbovu ni la mtu na mtu na hakuna official data ku verify hili! Taarifa zote zinatoka kwenu nyie wenye gpa ndogo na hakuna kitu zaidi ya kuwa mna feel inferior kwa hawa watu!!

Interview especially za serikali GPA huwa inahusika kama cutting point katika baadhi ya interview sasa nenda na 2.5 yako na unashindana na watu wana 4 na above tuone nani atapata.

Chuo nilicho maliza wenye gpa kubwa walipata kazi siku ya graduation!! Sasa sjui unataka kuniaminisha nini hapa.
 
Elimu yenyewe yasikuhizi Magumashi sana Ajira Hakuna, Tunasoma Kupunguza UJINGA kichwani Hayo ma-GPA yatakusaidia nini? We kaza Fuvu Kusoma hili upate GPA za kuringishia mtaani.
 
Huu ushauri wa kupuuzia GPA msiuchukue wakuu.
Watu wanapata nafasi za Instructor, Tutor, Tutorial Assistant, Curriculum Designers, Research Assistant kwenye taasisi za elimu ya juu kupitia Sekretarieti ya Ajira kwa kigezo cha GPA kuanzia 3.5+ au 3.8+.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂 Kwa kweli
 
Tuache kuaminisha vijana walioko vyuoni au wanaotegemea kwenda vyuoni mambo ya hovyo. GPA kubwa ni muhimu tena muhimu haswa!

Swala la kazini mtu mwenye gpa kubwa kuwa na utendaji kazi mbovu ni la mtu na mtu na hakuna official data ku verify hili! Taarifa zote zinatoka kwenu nyie wenye gpa ndogo na hakuna kitu zaidi ya kuwa mna feel inferior kwa hawa watu!!

Interview especially za serikali GPA huwa inahusika kama cutting point katika baadhi ya interview sasa nenda na 2.5 yako na unashindana na watu wana 4 na above tuone nani atapata.

Chuo nilicho maliza wenye gpa kubwa walipata kazi siku ya graduation!! Sasa sjui unataka kuniaminisha nini hapa.
Huyu. Dogo anasemea kwa yy anachoamini ila sio realistic kabisa hii kitu mkuuu shukrani
 
Nakumbuka huu utopolo tulikuwa tunadanganyana enzi zile tukiwa Chuo eti GPA kubwa haina maana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani eti usifaulu saana utaonekana umekariri au sijui kule kazini wanataka waone vitendo sio makaratasi like seriously? Watu wote wenye fikra za aina hii ni wajinga wa Kiwango cha Lami kwa sababu Nani atakupa nafasi Uoneshe Uwezo wako ikiwa hauna Kigezo kikuu ambacho ni Ufaulu?? Hivyo vitendo vyako vya kuproove wewe ni Bora kuliko mwenye GPA kubwa utavioneshea WAPI?

Ewe Mwanafunzi uliyepo Chuoni Muda huu nisikilize Mimi Kaka ako! Fanya kila liwezekanalo iwe Kwa chabo, Rushwa, wizi, Kukesha, Kukariri jitahidi Upate GPA kubwa tena likitokea Gape la kupata GPA ya 5 labda kwa Chabo au connection wewe pita Nayo tu usiangalie Nyuma Utakuja kunishukuru Baadae! Usije ukaogopa eti ooh Watanishtukia sina ujuzi, Wewe pita nayo tuu huku kazini kuna Trainings hauanzi kazi kimbuzi mbuzi tuu, janja janja zipo nyingi wewe hakikisha Unajitengenezea mazingira mazuri ya kupata kazi mengine utajua mbeleni[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hata wasipokusikiliza tayari huna hatia mbele za Mungu kwa kuwaambia huu ukweli mchungu. GPA ya undergraduate ni muhimu sana ili uingie kwenye ajira. Watu niliosoma nao karibu wote waliopiga GPA kali wako kwenye ajira nzuri. Vijana wampuuze mleta mada.
 
Hii inferiority complex na Fixed mindset ya kusema GPA kubwa hazina inshu ni ya ovyo kuwahi kutokea duniani.

Kama GPA kubwa hukuipata ni wewe, usijaribu kuuaminisha umma kuwa kutafuta GPA kubwa ni nonsense, you will be absolutely wrong.

Kama GPA kubwa sio deal, chuo cha nini Sasa? Yaani uende chuo kusoma then, useme mimi sisomi ili nipate GPA kubwa, are you serious?,,, Si bora ubaki nyumbani uuze Ice cream za ukwaju!. You will be wasting your time for nothing.

Kama uko chuo soma, Tena soma haswa, ndo kazi iliyokupeleka kule, hujaenda chuo kuuza SURA, uko Chuo Kwa mission moja tu, nayo ni kusoma.

Ushauri wangu kwa Continuous wote mlioko Chuo, Don't be Idiot to claim that having a great GRADE POINT AVERAGE "GPA" is Scam. Sio kweli, Push it harder to improve your performance, achana na mindset za upotoshaji You will thank me later.

Kama una uwezo wa kupiga kitabu just do it, show it and make it happen. That's.

#MyCountryPeople[emoji1241].
Asante 😁😁😁😁😁😁
 
Hata wasipokusikiliza tayari huna hatia mbele za Mungu kwa kuwaambia huu ukweli mchungu. GPA ya undergraduate ni muhimu sana ili uingie kwenye ajira. Watu niliosoma nao karibu wote waliopiga GPA kali wako kwenye ajira nzuri. Vijana wampuuze mleta mada.
Umesikia we dogo Johnnie Walker acha upotoshaji ww
 
Hata wasipokusikiliza tayari huna hatia mbele za Mungu kwa kuwaambia huu ukweli mchungu. GPA ya undergraduate ni muhimu sana ili uingie kwenye ajira. Watu niliosoma nao karibu wote waliopiga GPA kali wako kwenye ajira nzuri. Vijana wampuuze mleta mada.
Hao wenye gpa kubwa walipiga 4. Ngapi ili nijipange vizuri mkuuu nipe abc za gpa zao
 
Back
Top Bottom