Ulipiga GPA ya ngapi mkuu embu tujuze aseeNi maneno ya mkosaji tu, wewe kama ni kilaza usitafute justification hapa. Deep inside inferiority complex inakutesa sana, kiufupi wenye GPA za chini wengi vilaza tu, usitegemee utapata kazi za maana na gpa yako ya manati, labda huko halmashauri.
Vijana chuoni nawambieni kazaneni piga GPA kali uwe the best, mimi mpaka hapa maisha safi kabisa tena maisha matamu sababu ya ufaulu wangu wa chuo.
Hakuna sehemu watamuacha mtu wa GPA kubwa eti wakuchkue wewe na 2.8 yako. Never
Kwani u lecturer wanataka GPA ya ngapi mkuuuNikifikiria jinsi ninavyofundisha vizuri,language skill ya kutosha kabisa na fluency yenye adabu lakini siwezi kuomba u lecturer kwa sababu ya GPA huwa naumia sana.haimanishi wenye GPA ndogo ndo wenye akili,na wote wenye kubwa nizamichongo
Kati ya 3.8 au 4 kama sjakoseaKwani u lecturer wanataka GPA ya ngapi mkuuu
SawasawaKati ya 3.8 au 4 kama sjakosea
I wishi ningejua haya kabla sijamaliza masomo , wengi naowafahamu wenye GPA zao wanakula maisha tuNakumbuka huu utopolo tulikuwa tunadanganyana enzi zile tukiwa Chuo eti GPA kubwa haina maana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani eti usifaulu saana utaonekana umekariri au sijui kule kazini wanataka waone vitendo sio makaratasi like seriously? Watu wote wenye fikra za aina hii ni wajinga wa Kiwango cha Lami kwa sababu Nani atakupa nafasi Uoneshe Uwezo wako ikiwa hauna Kigezo kikuu ambacho ni Ufaulu?? Hivyo vitendo vyako vya kuproove wewe ni Bora kuliko mwenye GPA kubwa utavioneshea WAPI?
Ewe Mwanafunzi uliyepo Chuoni Muda huu nisikilize Mimi Kaka ako! Fanya kila liwezekanalo iwe Kwa chabo, Rushwa, wizi, Kukesha, Kukariri jitahidi Upate GPA kubwa tena likitokea Gape la kupata GPA ya 5 labda kwa Chabo au connection wewe pita Nayo tu usiangalie Nyuma Utakuja kunishukuru Baadae! Usije ukaogopa eti ooh Watanishtukia sina ujuzi, Wewe pita nayo tuu huku kazini kuna Trainings hauanzi kazi kimbuzi mbuzi tuu, janja janja zipo nyingi wewe hakikisha Unajitengenezea mazingira mazuri ya kupata kazi mengine utajua mbeleni[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Ngoja nipambanie kombe tena nipo mwaka wa 1 haaa Mungu anisaidie tu 🤗🤗🤗I wishi ningejua haya kabla sijamaliza masomo , wengi naowafahamu wenye GPA zao wanakula maisha tu
Asantekila siku huwa nawaambia wadogo zangu na wanafunzi wangu kwamba fanya ufanyalo upate GPA kubwa.
Hata kama hujui kuchukua history kwa mgonjwa......wewe pata GPA kubwa pita vile......kwa njia yoyote ile hata kama ni kwa kumpa lecturer pesa wewe mpe tu ili upate GPA kubwa.
Mambo ya huku kazini.....mkija huwa tunaanza na nyie upya na maseminar kibao.....hapo utachangamka na utacope tu......WADOGO ZANGU WA JAMII FORUM MLIOPO VYUONI PATENI NARUDIA PATENI GPA KUBWA......itawasaidia sana.
[emoji23][emoji1][emoji23] pambana kijana ......achana na madem plus mikumboNgoja nipambanie kombe tena nipo mwaka wa 1 haaa Mungu anisaidie tu [emoji847][emoji847][emoji847]
Sisi tulikuwa tunadanganyana kuwa wadada ndio inabidi wafaulu sanakila siku huwa nawaambia wadogo zangu na wanafunzi wangu kwamba fanya ufanyalo upate GPA kubwa.
Hata kama hujui kuchukua history kwa mgonjwa......wewe pata GPA kubwa pita vile......kwa njia yoyote ile hata kama ni kwa kumpa lecturer pesa wewe mpe tu ili upate GPA kubwa.
Mambo ya huku kazini.....mkija huwa tunaanza na nyie upya na maseminar kibao.....hapo utachangamka na utacope tu......WADOGO ZANGU WA JAMII FORUM MLIOPO VYUONI PATENI NARUDIA PATENI GPA KUBWA......itawasaidia sana.
Asante mkuuu 💪💪💪[emoji23][emoji1][emoji23] pambana kijana ......achana na madem plus mikumbo
Ikawaje mkuuu mbona una majuto sana 😹😹 ulipiga ngapi kwaniSisi tulikuwa tunadanganyana kuwa wadada ndio inabidi wafaulu sana
Connection matters alotNawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri
Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.
Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?
Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
3.8 and aboveKwani u lecturer wanataka GPA ya ngapi mkuuu
Ulisomea nini chuoni?Ni maneno ya mkosaji tu, wewe kama ni kilaza usitafute justification hapa. Deep inside inferiority complex inakutesa sana, kiufupi wenye GPA za chini wengi vilaza tu, usitegemee utapata kazi za maana na gpa yako ya manati, labda huko halmashauri.
Vijana chuoni nawambieni kazaneni piga GPA kali uwe the best, mimi mpaka hapa maisha safi kabisa tena maisha matamu sababu ya ufaulu wangu wa chuo.
Hakuna sehemu watamuacha mtu wa GPA kubwa eti wakuchkue wewe na 2.8 yako. Never
Overall GPAGPA inayo zungumziwa hapa ni ya mwaka wa mwisho semister ya mwisho. Siyo ya mwaka wa kwanza au pili semister yoyote?
Huu ushauri wa kupuuzia GPA msiuchukue wakuu.Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri
Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.
Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?
Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.
Well saidHuu ushauri wa kupuuzia GPA msiuchukue wakuu.
Watu wanapata nafasi za Instructor, Tutor, Tutorial Assistant, Curriculum Designers, Research Assistant kwenye taasisi za elimu ya juu kupitia Sekretarieti ya Ajira kwa kigezo cha GPA kuanzia 3.5+ au 3.8+.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Hii inferiority complex na Fixed mindset ya kusema GPA kubwa hazina inshu ni ya ovyo kuwahi kutokea duniani.Nawasalimu kwa salamuu ya jamuhuri
Humu ndani naona watu mnawatisha watoto kuhusu GPA sikuhizi GPA kubwa zimebebwa na vilaza ambao wengi wao wamenunua mitihani kwa walimu wale, ambao wanatumia hufahamu wao leo unaweza muhuliza swali akajibu very well ila hawa wa GPA kubwa hamna kitu.
Kuna watu tuna fanya nawo kazi lakini ukiangalia GPA kubwa uwezo wake wa kujieleza ziro skills alizopata kuja kutumia in practice ziro shida inakuwa kubwa mpaka una jiuliza huyu shule alienda kufanya Nini?
Nataka kusema hivi wadogo zangu pambane kweny practice na elewa zaidi kuhusu professional yako more penda kuhifuatilia kwa ukaribu upate update za professional yako unatoboa GPA achana nayo kabisa.