GPA ya 3.0 ni nzuri kwenye fursa za kazi?

GPA ya 3.0 ni nzuri kwenye fursa za kazi?

Nadhani GPA kubwa ni kwa baadhi ya kazi tu hasa zile za ki-Academic maana wanaamini kufundisha hasa vyuoni lazima uwe na uwezo mkubwa kwemye eneo lako..ila hzii kazi za kutafsiri mazingira kikazi kutumia elimu yako GPA sio ishu labda tu kwakuwa waombaji kazi ni wengi kuliko nafasi , hivyo hiyo inatumika kuchuja waombaji
 
Back
Top Bottom