GPA ya 3.9 ni nzuri kwenye fursa za kazi?

GPA ya 3.9 ni nzuri kwenye fursa za kazi?

Assume wanahitaji fresh graduate from university bila watakuita Interview na waombaji wapo zaidi ya elfu mbili
Ndio wataangalia ufaulu wa chuo, secondary na pia utafanya Interview na mwisho anaweza akachukuliwa mwenye 3.2 na mwenyewe 3.9 akaachwa kulingana na namna watakavyo ona uwezo wake kwenye Interview. Kwani ni mara nyingi mtu anakuwa na GPA kubwa ila kwenye Interview anashindwa kuthibitisha uwezo wake unaondana na hiyo GPA
 
G.P.A in this days GPA doesn't matter anymore

Jitahidi uwe na kitu cha ziada cha kuwazidi wenzio

Uwe na connection.

Kwa elimu ya Tanzania Kupata A unapata Ila kuwa na uwezo kazini hukutokani na A ya chuo

I speak from an experience.

Kuwa mkufunzi it is OK but there's
no growth in this career
 
nzur ikiambatana na connection kinyuma na hapo utateseka san kitaa
 
G.P.A in this days GPA doesn't matter anymore

Jitahidi uwe na kitu cha ziada cha kuwazidi wenzio

Uwe na connection.

Kwa elimu ya Tanzania Kupata A unapata Ila kuwa na uwezo kazini hukutokani na A ya chuo

I speak from an experience.

Kuwa mkufunzi it is OK but there's
no growth in this career
Hivi ni kweli hii Mkuu, kuwa hakuna growth katika career hii? Unaweza kuijazia nyama nipate picha ya eneo hili, tafadhali.
 
Ni nzuri sana na hivi sijawahi ipata. Lakini GPA ina mashiko kama unataka kuwa academician.

Huku kwingine skills, uniqueness, talent, experience connections will get you somewhere.

NB: sina uhakika na Serikalini maana sijawahi omba kazi huko.
serikalini hawaangalii GPA we fanya vizuri kwenye interview zao wanakupa kazi labda zile kazi za kufundisha
 
Jana kuna mpuuz tumepotezeana zaid ya miez minne, atI amepeta tokeo lake la 5.0 ya St.College ananipigia ili anitumie matokeo yake niyaone as if mimi ndie huwa namlipia Ada.
Acheni Uchawi basi connection haziombwi hivyo.
 
Back
Top Bottom