Gpa ya3.7Diploma ntapata kwel UDSM Bcom Accounts

Gpa ya3.7Diploma ntapata kwel UDSM Bcom Accounts

Jaza fomu TCU coz tiyari ulikuwa na full admission
Nimefanikiwa apply chuo kingine...mwanzo ili kuwa ina kataa kwasababu wali kuwa bado hawaja kubali uthibitisho ..wa cancel admission..Ila nilijaribu tena Na tena ikakubali ....
 
Kuhusu kujaza form kwa kipindi hichi hamna , kwasababu ukiingia kwenye website yao TCU utaona FAQ(frequently asked questions)kuhusu cancel admission wameeleza kabisa jinsi ya kukataa admission...ndio kwa njia iyo ya kubonyeza kitufe cha cancel admission..,then utasubir ata masaa 8 then utapata uthibitisho kuwa umesha cancel admission.., baada ya apo ndio utaendelea apply vyuo vingine bila shida yeyote....
 
Kuhusu kujaza form kwa kipindi hichi hamna , kwasababu ukiingia kwenye website yao TCU utaona FAQ(frequently asked questions)kuhusu cancel admission wameeleza kabisa jinsi ya kukataa admission...ndio kwa njia iyo ya kubonyeza kitufe cha cancel admission..,then utasubir ata masaa 8 then utapata uthibitisho kuwa umesha cancel admission.., baada ya apo ndio utaendelea apply vyuo vingine bila shida yeyote....
Simple maths umeomba vyuo 3 umepata 1 (3:1) round ya kwanza... UMECANCEL ADMISSION HICHO KIMOJA.. hivyo vitatu vya awali tunavicount off...

Unaomba tena raundi ambayo vyuo vingi vimeshapokea watu vipo tu kwenye kukamilisha idadi iliyopelea[emoji3]
KILA LA KHERI
 
Wana jf,GPA ya diploma inasoma 3.7 ndoto kuingia UDSM kwa competition iliyopo pale ntapata kweli??
Tuchua kitambulisho cha machinga , ni 20000 tu na utapata mkopo Benki na kuanzisha kampuni ambapo utaaajiri watu 10 na kupata mamilioni kama alivyosema ********
 
Simple maths umeomba vyuo 3 umepata 1 (3:1) round ya kwanza... UMECANCEL ADMISSION HICHO KIMOJA.. hivyo vitatu vya awali tunavicount off...

Unaomba tena raundi ambayo vyuo vingi vimeshapokea watu vipo tu kwenye kukamilisha idadi iliyopelea[emoji3]
KILA LA KHERI
Dah tunatishana sasa,izo ni assumption tu..Ila ina bid nisubr tu majibu.,,kuliko niende coz ya kimandazi alafu si ipend Bora nikose tu....
 
Dah tunatishana sasa,izo ni assumption tu..Ila ina bid nisubr tu majibu.,,kuliko niende coz ya kimandazi alafu si ipend Bora nikose tu....
Kozi gan hyo ya kimaandazi ambayo huipend mkuu? [emoji23] Samahani lakin!
 
Kuna wakati una kosa kozi ya kuingia kutokana Na point Na vigezo unakuta umebaki Na kozi ambayo una ona maybe inafaa...lakn bado uhakika nayo ni mdogo.,.
 
Back
Top Bottom