Grace usije tena gheto

Grace usije tena gheto

Grace nataka nikuache lakini nashindwa kutokana na uombaji wa msamaha wako! Naomba kuanzia leo grace msamaha wako uuombe kwa njia ya simu sitaki ili mizani iwe sawa.

Wajukuu na mabinti zangu mnaweza kupata Point muhimu kutoka kwa Grace kama mtaitafakari na kuelewa namna anvyoomba msamaha
 
Kila tukikosana na nikataka tuachane basi unakuja gheto kuomba msamaha na mara zote msamaha nautoa bila hata kuongea chochote yani ukinipa tu na msamaha natoa!.

Kusema kweli grace sijapenda tabia yako hii ya kumaliza makosa yako kwa njia ya kidikteta telezeshi! Visa vyako ni zaidi ya msamaha wako.

Grace nataka nikuache lakini nashindwa kutokana na uombaji wa msamaha wako! Naomba kuanzia leo grace msamaha wako uuombe kwa njia ya simu sitaki ili mizani iwe sawa.

Kwako grace muomba misamaha changamfu.
Mkuu ni PM namba ya grace.
 
Mkuu kwa ubaya uko wapi..?? anakuja unakula mzigo then akitoka ugomvi unaendelea..

Hio pia inaweza kuwa mbinu ya kula mzigo unapohitaji,,, Yaani ukitaka kula mzigo unatishia kumuacha then anakuja unapiga,, akiondoka kesi inaendelea..

Fanya hivo hadi pale mtakapoachana kweli
 
Safi sana Grace, kanyagia gia hiyo hiyo😀😀 hadi maji uite mma mkuu🏃‍♀️ hamna kuachana
 
Muwe mnatumia diplomasia katika kutatua mambo yenu.
Itaneni sehemu isiyofaa kufanya mapenzi ili kuepuka kushurutishwa
Grace ana akili. Anaujua udhaifu wa mshikaji. Wakikaa faragha tu msamaha unatoka. Ndo dawa sahihi kwa tatizo lake. Mwisho wa siku mshikaji ataamua yaishe tu. Grace ndani ya nyumba. Chezea dikteta Grace wewe!
 
Kila tukikosana na nikataka tuachane basi unakuja gheto kuomba msamaha na mara zote msamaha nautoa bila hata kuongea chochote yani ukinipa tu na msamaha natoa!.

Kusema kweli grace sijapenda tabia yako hii ya kumaliza makosa yako kwa njia ya kidikteta telezeshi! Visa vyako ni zaidi ya msamaha wako.

Grace nataka nikuache lakini nashindwa kutokana na uombaji wa msamaha wako! Naomba kuanzia leo grace msamaha wako uuombe kwa njia ya simu sitaki ili mizani iwe sawa.

Kwako grace muomba misamaha changamfu.
@gilesi ametisha
 
Hyuo grace ni mhindi au mbongo isije ikawa grace ambaye ni jirani yangu
 
Back
Top Bottom