dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
una ID ngapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni PM namba ya grace.Kila tukikosana na nikataka tuachane basi unakuja gheto kuomba msamaha na mara zote msamaha nautoa bila hata kuongea chochote yani ukinipa tu na msamaha natoa!.
Kusema kweli grace sijapenda tabia yako hii ya kumaliza makosa yako kwa njia ya kidikteta telezeshi! Visa vyako ni zaidi ya msamaha wako.
Grace nataka nikuache lakini nashindwa kutokana na uombaji wa msamaha wako! Naomba kuanzia leo grace msamaha wako uuombe kwa njia ya simu sitaki ili mizani iwe sawa.
Kwako grace muomba misamaha changamfu.
Naomba nitumie mbinu ya "dikteta telezeshi"😅Hakika Grace ni mwanamke rijali....
Grace ana akili. Anaujua udhaifu wa mshikaji. Wakikaa faragha tu msamaha unatoka. Ndo dawa sahihi kwa tatizo lake. Mwisho wa siku mshikaji ataamua yaishe tu. Grace ndani ya nyumba. Chezea dikteta Grace wewe!Muwe mnatumia diplomasia katika kutatua mambo yenu.
Itaneni sehemu isiyofaa kufanya mapenzi ili kuepuka kushurutishwa
Ukizingatia ule utafiti hadi leo haujazaa suluhisho la kwanini mwanaume akisukumwa kwa kidole cha mwanamke kuelekea kitandani, mwanaume lazima aanguke? Watafiti bado wako kazini kutafuta jibu.Grace ongeza dozi usiache kwenda gheto kuomba msamaha
@gilesi ametishaKila tukikosana na nikataka tuachane basi unakuja gheto kuomba msamaha na mara zote msamaha nautoa bila hata kuongea chochote yani ukinipa tu na msamaha natoa!.
Kusema kweli grace sijapenda tabia yako hii ya kumaliza makosa yako kwa njia ya kidikteta telezeshi! Visa vyako ni zaidi ya msamaha wako.
Grace nataka nikuache lakini nashindwa kutokana na uombaji wa msamaha wako! Naomba kuanzia leo grace msamaha wako uuombe kwa njia ya simu sitaki ili mizani iwe sawa.
Kwako grace muomba misamaha changamfu.