do wat u think
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 318
- 240
Daah kupenda kubaya sana aiseeAkiingia tu gheto hata Kama ulikuwa hutaki kutabasam kwa jicho lake tu unabatasam! [emoji22]
Yani makosa yake yanaisha kivyepesi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah kupenda kubaya sana aiseeAkiingia tu gheto hata Kama ulikuwa hutaki kutabasam kwa jicho lake tu unabatasam! [emoji22]
Yani makosa yake yanaisha kivyepesi sana
Hahahah afu sikulitambua hilo mkuu. Kumbe wote tumeitwa kwa hilo jina[emoji23]pale unapowageuza watu wote wanaosoma Uzi wako kuwa akina grace basi hapo ndipo unaanza ku fail..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Grace mnaweza kosana hata kwa yeye kutokutaka kuja gheto lakini ukimfokea ukataka kumuacha anakuja gheto na akija jua hamzungumzii makosa! Akishanipa anaondoka imefika hatua hata nimesahau kanikosea nini! Kumuacha nataka lakini aina hii ya uombaji msamaha ndo imekuwa changamoto kumuepuka grace kila Nikisema mara hii hapati msamaha lkn akija gheto akaniwekea tu mkono kifuani basi ukuta wote niliyomuekea anauvunja[emoji22][emoji22]
Grace usije tena gheto.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].....wewe kweli ni jinga afu jasiri.Mkuu huwa unaenda chooni na.maji.au unayakuta huko huko!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Grace ongeza dozi usiache kwenda gheto kuomba msamaha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Grace ukienda gheto hakikisha unasahau kuvaa bikini.
Ooh mambo imeshakua mingi!Au ni giLesi wa JF yule tepetepe?
sio kwa uombaji msamaha wa Grace wewe,unaleta masikhara niniUkitaka kumuua nyani usimtizame usoni