kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,631
Habari wakuu.
Nimepita baadhi ya taasisi za kutoa mikopo kama mabenki na Microfinance nikiwa na vielelezo vya usajili wa biashara(Tin ,lesseni na business registration name) pia niña mchanganuo wa biashara. Lakini hakuna aliye tayari kunikopesha maana biashara yangu ni start up. Nafahamu sí vizuri sana kukopa ukiwa unaanza biashara lakini ukipata mkopo wenye marejesho nafuu unaweza mudu vizuri.
Katika uanazishaji nimefikia hatua nzuri na nimebakiza kiwango kama 1.5 mill nianze biashara yangu. Wandugu nipeni msaada wa mawazo au sehemu nayoweza saidiwa kupata hicho kiasi, kama kuna mkopeshaji naweza lipa kwa miezi 3 na dhamana ni assets za nyumbani.
Natanguliza shukrani.
Nimepita baadhi ya taasisi za kutoa mikopo kama mabenki na Microfinance nikiwa na vielelezo vya usajili wa biashara(Tin ,lesseni na business registration name) pia niña mchanganuo wa biashara. Lakini hakuna aliye tayari kunikopesha maana biashara yangu ni start up. Nafahamu sí vizuri sana kukopa ukiwa unaanza biashara lakini ukipata mkopo wenye marejesho nafuu unaweza mudu vizuri.
Katika uanazishaji nimefikia hatua nzuri na nimebakiza kiwango kama 1.5 mill nianze biashara yangu. Wandugu nipeni msaada wa mawazo au sehemu nayoweza saidiwa kupata hicho kiasi, kama kuna mkopeshaji naweza lipa kwa miezi 3 na dhamana ni assets za nyumbani.
Natanguliza shukrani.