Graduates sikilizeni kutoka kwa malegend wa kitaa...

Usisite kumkumbusha, enzi anatembea usiku kama Bundi na suruali moja
 
Sio utani after college nilipiga kazi ya saidia fundi that time day walikuwa wanalipa 10K lakini kupata hiyo kazi ilikuwa ni connection pia.

First day kupiga hiyo kazi sikulala mwili wote unauma, kubeba zile tofali nzito si kazi ndogo.
Day two nikaenda tena, kesho yake nikaenda tena nilipiga kama wiki mwili ukazoea lakini mwili wote unapauka na simenti.

Manzi yangu hakuniacha, that time alikuwa anasoma chuo anamalizia mwaka mmoja, hakusita kunisapoti alipopata boom

Namshukuru sana, sasa ndiye mke wangu
Mungu ni mwema life linaenda tuna watoto kadhaa[emoji1431][emoji1431]
 
Usisahsu ushauri wa wahenga kuwa "tenda wema nenda zako, usingoje shukrani"


JESUS IS LORD
 
Unamaliza chuo ukiwa na connection zako kadhaa, lakin ukishaanza kuwafatilia kuhusu hizo kazi wanaleta mada zao za kula tunda, unaamua kupotezea na kuwaza njia njia nyingne za kupata kipato
 
Aliyeko Chuoni hawezi ona haya.
Kila mtu anaamini akimaliza Chuo atapata tu Mchongo wa kufanya. Baada ya muda ndio uhalisia unajidhihirisha.

Hata wale wadada wajasiriamali vyuoni huwa wanaacha.
Mtaani n changamotooo
 
InshAllah ni kipindi cha mpito
 
Aliyeko Chuoni hawezi ona haya.
Kila mtu anaamini akimaliza Chuo atapata tu Mchongo wa kufanya. Baada ya muda ndio uhalisia unajidhihirisha.

Hata wale wadada wajasiriamali vyuoni huwa wanaacha.
Hujakosea mkuu, wakati nipo chuo nilikua nikiongea na mtu akanambia hajapata kazi naona kama atakua alizingua hivi ndio maana aisee, ukweli ni kwamba akili za darasasni hazihusia na kutoboa kwenye maisha.
Ni Mungu tu akiamua kukufungulia riziki
 
Kujiajiri pia ni kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…