Sio utani after college nilipiga kazi ya saidia fundi that time day walikuwa wanalipa 10K lakini kupata hiyo kazi ilikuwa ni connection pia.
First day kupiga hiyo kazi sikulala mwili wote unauma, kubeba zile tofali nzito si kazi ndogo.
Day two nikaenda tena, kesho yake nikaenda tena nilipiga kama wiki mwili ukazoea lakini mwili wote unapauka na simenti.
Manzi yangu hakuniacha, that time alikuwa anasoma chuo anamalizia mwaka mmoja, hakusita kunisapoti alipopata boom
Namshukuru sana, sasa ndiye mke wangu
Mungu ni mwema life linaenda tuna watoto kadhaa[emoji1431][emoji1431]