Hahahahahah watu wanakwepa vi gurunetiUnakosa hata jero ya vocha, unapoteza mpaka confidence halafu mademu ndio wanazidi kuwa wakali mamaaaee.
Zile illusion ulikuwa nazo kuwa ukimaliza chuo unapata kazi unamiliki ghetto kali na chuma chakutembelea zinayeyuka kama barafu mbele ya jua.
Ukimpigia mtu simu anakata hapo hapo hata kwa unataka kumpa salamu anadhani unataka kupiga ukware.
Kujikomba ndio njia pekee na nyepesi ambayo unaweza kuitumia kuchomoka kimaisha kwa hali ya sasa ilivyo!Mi nilianza kujikomba kwa bro,
Nikawa nambrashia viatu vyake,
Nikawa naosha gari yake, nikikuta silesile na fegi nachukua, sometimes vikonyagi vimesalia siviachi salama,
Nikisikia honi anavorudi, nawahi getini kumfungulia, na lazima nimpige ngeo,
Mungu ni mwema nikaja kuotea mchongo, nikasahau zile shida hata bando la jero utata, ikawa ni kuwabandua tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu! Heshima na utu huwa unapotea kabisa kipindi ukiwa dead broke hata nzi wanaweza kuja kubanduana juu ya utosi wako na hamna kitu utafanya😂Acha Mkuu hii hali niliipitia kabisa
Na nilibakia kichwa Tu
Ashukuriwe Mungu hata Kwa hii stage niliyobarikiwa but I dream higher!
Hii ni pie hasa kama ulidet na slay queen wa chuoni kwenu🤩Hyo kuachwa na demu wako hiyo
Bless sana mkuu ila mpaka kuvuka stage sema jambo kwa graduateAcha Mkuu hii hali niliipitia kabisa
Na nilibakia kichwa Tu
Ashukuriwe Mungu hata Kwa hii stage niliyobarikiwa but I dream higher!
[emoji23][emoji23] dunia sio yetu[emoji38][emoji38][emoji38]ndo utajua hujui.
Kikubwa upate utelezi hii stage macho hayaoni vizuri kila mwanamke ni mzuriUnahamia kwa ma house girl...
Utasema sio wewe uliekuwa unawaona wachafu..
Usiombee huo mtaji uwe uliupata kwa kujibana bana kwny boom. Inauma knoma[emoji848]Unamaliza na mtaji wako kiasi fulani , wazo la biashara unalo ili ukianza kutekeleza mambo yanaenda ndivyo sivyo !! Mtaji unakatika [emoji3][emoji3][emoji3] michongo inagoma kabisa !! Kampuni za usafi hawachukui watu , saidia fundi mpaka connection daaah[emoji43]
Noma bablaiHahahahahah watu wanakwepa vi guruneti
Tatzo sio kila mtu anaweza kujikomba. Sie wengne hata ile kumsalimia salimia mtu kila mda tunaonaga n vgumu.Kujikomba ndio njia pekee na nyepesi ambayo unaweza kuitumia kuchomoka kimaisha kwa hali ya sasa ilivyo!
Jipendekeze kwa watu wenye connection kubwa hutakosa pa kupachikwa hata ikiwa sio leo wala kesho ila in a long run utatoboa!
Hahahahah ni ngumu kwa kweli! Wlambwa matako ndio wanaezaga hizi mbisheTatzo sio kila mtu anaweza kujikomba. Sie wengne hata ile kumsalimia salimia mtu kila mda tunaonaga n vgumu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera mkuu! Heshima na utu huwa unapotea kabisa kipindi ukiwa dead broke hata nzi wanaweza kuja kubanduana juu ya utosi wako na hamna kitu utafanya[emoji23]
Mkiona wazee wanagombania nafasi za kubaki ofisini na kufoji miaka ndio muelewe! Its not easy being broke
Vijana mjiajiri jamani😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787]