Adrian Stepp
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 2,764
- 2,591
View attachment 72160
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
View attachment 72161
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates wasionekane kwenye maofisi ya serikali??!! kwa mfano: Mtandao wa zantel watu wengi wanaukataa sababu ni wa zenji ati wakiislamu..imekaaje hii??!!
Ofisi gani?!
Si lazima kila anaye graduate akafanye kazi serikalini! na kama serikali inaona kuwa inawahitaji basi inaweza kuweka kanuni ambazo zitafanya watu wa imani zote wakiwemo Waislamu wanaovaa niqab waweze kufanyakazi serikalini.View attachment 72160
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
View attachment 72161
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates wasionekane kwenye maofisi ya serikali??!! kwa mfano: Mtandao wa zantel watu wengi wanaukataa sababu ni wa zenji ati wakiislamu..imekaaje hii??!!
View attachment 72160
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
View attachment 72161
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates wasionekane kwenye maofisi ya serikali??!! kwa mfano: Mtandao wa zantel watu wengi wanaukataa sababu ni wa zenji ati wakiislamu..imekaaje hii??!!
Si afadhali wao ni wanawake kuliko wale "wahitimu" wa staili ya kina P.Mulugo!
Kwanza kina Mulugo wamesomeshwa na Maaskofu...
Acheni mzaha hii sio graduation, mbona sioni zile kofia na majoho?