KAZIMOTO
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 1,073
- 324
View attachment 72160
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
View attachment 72161
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates wasionekane kwenye maofisi ya serikali??!! kwa mfano: Mtandao wa zantel watu wengi wanaukataa sababu ni wa zenji ati wakiislamu..imekaaje hii??!!
Voda, Tigo na Airtel hazina coverage kubwa zanzibar kama ilivyo Zantel.
sidhani kama ina uhusiano na dini bali suala hapa litakuwa hii ni kampuni yetu kwa kila upande wa Muungano