View attachment 72160
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
View attachment 72161
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates wasionekane kwenye maofisi ya serikali??!! kwa mfano: Mtandao wa zantel watu wengi wanaukataa sababu ni wa zenji ati wakiislamu..imekaaje hii??!!
View attachment 72160
Mkuu wa chuo cha kiislamu morogoro Hajjat Mwantumu Malale akitoa cheti kwa mwanafunzi bora wa chuo hicho!
View attachment 72161
Graduates hao!
Swali ni kwamba: hivi siasa inaweza ikasababisha hawa graduates wasionekane kwenye maofisi ya serikali??!! kwa mfano: Mtandao wa zantel watu wengi wanaukataa sababu ni wa zenji ati wakiislamu..imekaaje hii??!!
hii inanikumbusha Jirani yangu alimpeleka mtoto wake katika shule ya kanisa. huyo jirani aliamua kumtoa mwanawe baada ya walimu wa shule hiyo kupandikiza chuki kati ya watoto wa kiislam na wakiristoKuna rafiki yangu anasoma hapo lia anatumia jina la kiislam
akikusimulia wanayofundishwa kuhusu dini nyingine utashangaa! Yani ni no upendo!
Kuna rafiki yangu anasoma hapo lia anatumia jina la kiislam
akikusimulia wanayofundishwa kuhusu dini nyingine utashangaa! Yani ni no upendo!
hii inanikumbusha Jirani yangu alimpeleka mtoto wake katika shule ya kanisa. huyo jirani aliamua kumtoa mwanawe baada ya walimu wa shule hiyo kupandikiza chuki kati ya watoto wa kiislam na wakiristo
Wee vipi? Zile kofia na majoho si za Kafiri Mmarekani na Vaticana? teh tehAcheni mzaha hii sio graduation, mbona sioni zile kofia na majoho?
Wee vipi? Zile kofia na majoho si za Kafiri Mmarekani na Vaticana? teh teh
Jaman wapo mtaan na mmojawapo mi ninae kitaa tunakomaa na maisha tu. Kiukweli ndg zangu wa kike taratibu zao za maisha ni ngumu sana,nakumbuka nliwah kuwa bank teller akaja binti wa kiislam na nguo zao zile anataka kuchukua pesa,akanipa kadi,nkamuomba atoe baibui nione sura yake kuvarify na picha,aligoma yan ilikuwa kazi nami nkakomaa nae,mwishoe akaamua kusepa bila kupata huduma
Ndo maana nasema Chadema mnadharau uislamu sana.Iko siku mtajua Waislamu ni akina nani endeleeni na huo uhuni wenu
Ndo maana nasema Chadema mnadharau uislamu sana.Iko siku mtajua Waislamu ni akina nani endeleeni na huo uhuni wenu
Swali lake la msingi sana! Kwani hata mimi sijawahi kuona huko Bongo ofisi za SERIKALI wanaingia na hizo nguo, lakini huku nilipo kitu cha kawaida tu.
Wakati wa kupiga picha ya kadi je nako hakuvuwa hilo Ninja Dressing? Halafu na makahaba wengi siku hizi naona hilo vazi wanalipenda sana, wakitoka makwao wanavaa Ninja Dressing kumbe ndani wana vimini. hili sijahadithiwa nimejionea kwa macho yangu.Jaman wapo mtaan na mmojawapo mi ninae kitaa tunakomaa na maisha tu. Kiukweli ndg zangu wa kike taratibu zao za maisha ni ngumu sana,nakumbuka nliwah kuwa bank teller akaja binti wa kiislam na nguo zao zile anataka kuchukua pesa,akanipa kadi,nkamuomba atoe baibui nione sura yake kuvarify na picha,aligoma yan ilikuwa kazi nami nkakomaa nae,mwishoe akaamua kusepa bila kupata huduma
Vitu vingine ni vya kijinga kabisa, sasa Mwanamke wa namna hii kama kuna ajila kwenye majeshi yetu ataweza kufanya kazi? Acheni kuwanyanyasa Wanawake wa Kiislamu kwa kuiga mila za Waarabu wasiothamini Wanawake.Asilimia zaidi ya 75 ya ajira nchini ni sekta binafsi ambako kuna wamiliki wa dini mbalimbali na wasio na dini wao wanahitaji output tu.
Suala la mavazi halina nguvu na ushawishi katika sekta binafsi ni rahisi kulizungumzia katika sekta ya umma tu ambayo ni ndogo sana katika mzunguko wa uchumi. Ni muhimu kujiandaa kufanya kazi katika mazingira yote.
Jaman wapo mtaan na mmojawapo mi ninae kitaa tunakomaa na maisha tu. Kiukweli ndg zangu wa kike taratibu zao za maisha ni ngumu sana,nakumbuka nliwah kuwa bank teller akaja binti wa kiislam na nguo zao zile anataka kuchukua pesa,akanipa kadi,nkamuomba atoe baibui nione sura yake kuvarify na picha,aligoma yan ilikuwa kazi nami nkakomaa nae,mwishoe akaamua kusepa bila kupata huduma
Ndo maana nasema Chadema mnadharau uislamu sana.Iko siku mtajua Waislamu ni akina nani endeleeni na huo uhuni wenu