Graduates wengi mkiweka aibu na uoga pembeni, basi mtaani mnaishi


Toa bhasi mfano wa hizo aidea ndogo ndogo mkuu ili vijana wengi wafaidike popote walipo maana kuongea huwa rahisi.
 
Mbavu sina[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787]

Maana huu ni zaidi ya ukweli
 
Na usipojitoa ufahamu hutoboi haki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]
 
Ha ha ha[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]

Mambou?
 
Ugumu wa kufanya maamuzi si wakiphysical bali ni wa kiakili.


Hili ni tatizo kubwa sana.ukiona mtu anakubali kushinda njaa na mfukoni hana hela ila ni ule ujasiri tu wa kukomaa kulinda heshima ya status ya elimu yake basi jua tatizo ni la kiakili zaidi na si la asili.

Ni kama kumfunga punda kwenye kiti cha plastic akiamini amefungwa pale na hawezi ondoka.

Kimsingi tuna utumwa wa kifikra na ni matokeo ya kuopokea mifumo ya kimaisha na kielimu ambayo si ya mazingira yetu.
 
Juzi imepita Nissan Primera moja iko mafuta sana. Ghafla nikaona imerudi mpaka nilipokua. Jamaa akashusha kioo.

Jamaa: Oya niaje?
Mimi: Freshi chief, karibuu (Hapo
nimemtambua, niliskulinae)
Jamaa: Sikuhizi ndo uko hapa?
Mimi: Ndio chief, shuka nikupigie maji ndinga
hiyo, buku tano tuu.
Jamaa: Mwanangu acha kutusanif bwanaa, we
jamaa ulikua na maakili ulikua
unatukimbiza kwenye namba.
Mimi: Akili zangu kwasasa zimeishia hapa.
Jamaa: We si nilisikia ulikua unasoma
madegree huko. We ulitakiwa uwe
mabenki hukoo, maana yale mahesabu
nomaa

Kufupisha story:
Jamaa amenikuta car wash naosha gari za watu akakataa kukubali akirefer ufalme wa shule kua sikutakiwa kua pale.

Hiyo ndo jamii inayomzunguka graduate. Tunahitaji kujikana ili uishinde.
 
Yaaan mimi ndo siwezi kujilipua nina maaibu na mauwoga kama yote[emoji16][emoji1787][emoji1787]
Kujilipua muhimu sana tena afadhali ungeanza mapema. Mi najutia miaka yangu niliopoteza kwenye ubrazameni. Ungekuta nimeanza harakati mapema ningefikisha 30 nikiwa mjengoni kwangu kabisa.

Yote hio kuogopa kujilipua.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]aiseee kwaiyo kaona hyo ni kazi ya wasiosomaa..wakati sahv kuna watu na degree zao wanaendesha boda
 
Acha tu mkuu. Kwa hili wazo nilipingwa mpaka na ndugu.
Siku moja sister ananiambia "Hivi kweli Abr.. umekosa kazi huko kwenye mabenk, mbona ufaulu wako mzuri tuu" "Omba hata kufundisha shule, walimu wa Mathematics wachache".

Nashukuru Mungu najisikia huru kufanya kitu chakwangu mwenyewe.
[emoji3][emoji3][emoji3]aiseee kwaiyo kaona hyo ni kazi ya wasiosomaa..wakati sahv kuna watu na degree zao wanaendesha boda
 
Mkuu umesomeka ila kuna kitu kimoja kumbuka kukaa mbali na marafiki so vizuri hawa ndo wanaoweza kukupa connection za kazi. Mfano me siwez mkazia friend ambae nimetoka nae chuo tulikuw wote kwa shida na raha kwamba nikae mbali nae kisa kapata kazi doesn't make sense
 
Watakuelewa tu sikumoja..kaza buti mkuu
 
mzee nipe kibarua hapo carwash nisavaivu kidogo maana hali yangu kame sana now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…