Graduates wengi mkiweka aibu na uoga pembeni, basi mtaani mnaishi

Graduates wengi mkiweka aibu na uoga pembeni, basi mtaani mnaishi

Hata hiyo ajira ukiipata kuna manyanyaso usipime hasa kama ni mtu wa maendeleoa heee! utakoma

ukiwa bwegebwege hivi kama mlevi, teja, utabaki salama.
but ukienda kusoma kuchukua Mastres umenunua kigari, nyumba weee! unakatiwa mshahara ghafla, kwa muda usiojulikana maksudi tu, ili ukate tamaa ya kusoma. yaani kuna watu huko Duniani ni usipime Bora ujizoeze kuuza Vocher, na sigara haitakusumbua sana.

ngoja jiwe awakomeshe.
 
Tatizo naona nimechelewa sana kuanza
Kama hujafa me naamini bado hujachelewa hebu fikiria obama kaanza urais akiwa na miaka 47 na kastaafu akiwa na 55 lakini trump kwanzaa ndio kaanza akiwa na 70

Kuna watu wanakua wakurugenzi(C.E.O) wakiwa na umri wa miaka 30 na anakufa akiwa na 40 na kuna mwingine anaanza kuwa C.E.O akiwa na miaka 40 na anakufa na miaka 90

Maisha haya kila mtu ana time line yake hilo jambo lako we lifanye hata usisite kabisa na hujachelewa labda kuwe kuna sababu ngumu kama za kiafya.
 
Nilikuwa na mentality ya kuwa eti nimesoma mpaka level fulani basi nikawa nachagua kazi na kufungua biashara ndogo nikawa naona aibu

Nilichofanya ni kuhama mtaa na kuanza biashara ndogo baadae nimekuja kupata kazi wakati naendelea na biashara ndogo na ikazaa nyingine.

Kikubwa kama mtaa unaoishi wanakujua vizuri inabidi uhame ufanye kazi zako kwa uhuru na jitahidi kufanya mambo yako kisiri usimwambie kila mtu
Asante kwa ushauri kuna jamaa mtaani kwetu alinifuata akaniambia mkuu toa hela kidogo tuanze kukaanga samaki ebwana niliona aibu sana nikagoma baadae yule jamaa akaanza kuingiza 7000 kwa siku kama faida na alianza na mtaji wa laki huku me nikisambaza bahasha zangu daah nilijiona fala sana,haya madarasa tuliyopitia yana tuharibu sana kiukweli mtaala wetu wa elimu unahitajika uwe somo la ujasiriamali kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu tena iwe ni lazima kulisoma.
 
Kuna kitu kinaitw Fear of Uknown na pia ukijumlisha na Aibu basi mambo huwa hivyo.
Asante kwa ushauri kuna jamaa mtaani kwetu alinifuata akaniambia mkuu toa hela kidogo tuanze kukaanga samaki ebwana niliona aibu sana nikagoma baadae yule jamaa akaanza kuingiza 7000 kwa siku kama faida na alianza na mtaji wa laki huku me nikisambaza bahasha zangu daah nilijiona fala sana,haya madarasa tuliyopitia yana tuharibu sana kiukweli mtaala wetu wa elimu unahitajika uwe somo la ujasiriamali kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu tena iwe ni lazima kulisoma.
 
Hata hiyo ajira ukiipata kuna manyanyaso usipime hasa kama ni mtu wa maendeleoa heee! utakoma

ukiwa bwegebwege hivi kama mlevi, teja, utabaki salama.
but ukienda kusoma kuchukua Mastres umenunua kigari, nyumba weee! unakatiwa mshahara ghafla, kwa muda usiojulikana maksudi tu, ili ukate tamaa ya kusoma. yaani kuna watu huko Duniani ni usipime Bora ujizoeze kuuza Vocher, na sigara haitakusumbua sana.

ngoja jiwe awakomeshe.
Kwenda kusoma nako ni uoga wa kuogopa Chalange. Make mtu ili aizikwepe Challange basi anaenda kusoma.
 
Aibu na Uoga ni janga kubwa sana. Asikuambie mtu, mtu asikuambia mimi sina mtaji ila ukweli ni Aibu na Uoga.

Kuna Mtumishi mmoja Baba yake na Mkurugenzi wa Jamiiforums aliwahi tuambia mafanikio huanza pale Uoga na Aibu zinapoondoka

Tuna hivi vitu moyoni.

1.Wazazi watanielewa kweli kijana wao mwenye Degree?

2.Hivi Shemeji yangu akisiki itakuwaje?

3.Hivi Mchumba wangu atanielewa kweli kwamba ni mimi niliyekuwa Chuo?

4.Marafiki zangu watanielewa kweli?

5. Majirani vipi?

Combination ya hivyo vyote humfanya mtu aone bora akae tu kisingizio kiwe sina mtaji

Unaondoaje AIBU na UOGA?

1. Jitoe ufahamu kabisa, weka pamba masikioni hapa na pale ambapo inafikia stage wanakuona kama unerukwa na akili ila wewe na Mungu wako ndio mnajua unacho kifanya.

Hii hatua ni ngumu sana kujitoa ufahamu sio mchezo manake inabidi kweli uwe na roho ya Chuma au Roho ngumu sana.

2. Hama nenda mbali na wanako kujua. Kama home ni Korogwe pale na wanakujua ulikuwa Chuo kikuu basi nenda Karatu Arusha anza makazi pale fanya chochote hata kuuza vocha na sigara na karanga.

Hii ni njia nzuri sana manake unakuwa mbali sana na unakuwa kivyako vyako au na mshikaji wako na mnafanya mambo.

3. Usijaribu kumshirikisha mtu yoyote yule hata Wazazi wako kwamba unataka kufanya nini au unafanya nini bali waje kujua wenyewe baadae sana.

Kitendo cha kuwaambia Wazazi au Ndugu na Jamaa na Marafiki kwamba kwa sasa nataka nifungue kibanda cha kuuza Vocha wengi hawatakuelewa na watakukatisha tamaa balaaa.

Hii inachangiwa na imani kwamba Chuo kikuu ni ni levo tofauti.

4. Jitenge na ma-met zako au Marafiki walio na kazi watakutia Uoga zaidi manake ukiwa unawaona wanatokea kazini utaumia zaidi.

5. Washikaji na ndugu na Jamaa wakiwa wanakupigia pigia simu wewe wajibu in short una kibarua unafanya sehemu. Ili kukata mazungumzo manake wakipiga ukaawambia unauza Vocha Dah, hawatakuelewa kabisa kabisa.

Jitahidi kuwakatisha na wajibu in short tu.

MWISHO
Achana na kwamba una Degree hata ikibidi watu wengi waambie hujaenda shule au uliishia tuu Form four.

Ondoa Aibu na Uoga wacha watu wakuone kama umechanganyikiwa, wacha wakuseme, wacha wakucheke, wacha wakukebehi ila mwisho wa siku unajua unacho kifanya.

Kwa sasa Naishia hapa.

MAFANIKIO HUANZA PALE TU AIBU NA UOGA VINAPO TOWEKA
Asante
 
Aibu na Uoga ni janga kubwa sana. Asikuambie mtu, mtu asikuambia mimi sina mtaji ila ukweli ni Aibu na Uoga.

Kuna Mtumishi mmoja Baba yake na Mkurugenzi wa Jamiiforums aliwahi tuambia mafanikio huanza pale Uoga na Aibu zinapoondoka

Tuna hivi vitu moyoni.

1.Wazazi watanielewa kweli kijana wao mwenye Degree?

2.Hivi Shemeji yangu akisiki itakuwaje?

3.Hivi Mchumba wangu atanielewa kweli kwamba ni mimi niliyekuwa Chuo?

4.Marafiki zangu watanielewa kweli?

5. Majirani vipi?

Combination ya hivyo vyote humfanya mtu aone bora akae tu kisingizio kiwe sina mtaji

Unaondoaje AIBU na UOGA?

1. Jitoe ufahamu kabisa, weka pamba masikioni hapa na pale ambapo inafikia stage wanakuona kama unerukwa na akili ila wewe na Mungu wako ndio mnajua unacho kifanya.

Hii hatua ni ngumu sana kujitoa ufahamu sio mchezo manake inabidi kweli uwe na roho ya Chuma au Roho ngumu sana.

2. Hama nenda mbali na wanako kujua. Kama home ni Korogwe pale na wanakujua ulikuwa Chuo kikuu basi nenda Karatu Arusha anza makazi pale fanya chochote hata kuuza vocha na sigara na karanga.

Hii ni njia nzuri sana manake unakuwa mbali sana na unakuwa kivyako vyako au na mshikaji wako na mnafanya mambo.

3. Usijaribu kumshirikisha mtu yoyote yule hata Wazazi wako kwamba unataka kufanya nini au unafanya nini bali waje kujua wenyewe baadae sana.

Kitendo cha kuwaambia Wazazi au Ndugu na Jamaa na Marafiki kwamba kwa sasa nataka nifungue kibanda cha kuuza Vocha wengi hawatakuelewa na watakukatisha tamaa balaaa.

Hii inachangiwa na imani kwamba Chuo kikuu ni ni levo tofauti.

4. Jitenge na ma-met zako au Marafiki walio na kazi watakutia Uoga zaidi manake ukiwa unawaona wanatokea kazini utaumia zaidi.

5. Washikaji na ndugu na Jamaa wakiwa wanakupigia pigia simu wewe wajibu in short una kibarua unafanya sehemu. Ili kukata mazungumzo manake wakipiga ukaawambia unauza Vocha Dah, hawatakuelewa kabisa kabisa.

Jitahidi kuwakatisha na wajibu in short tu.

MWISHO
Achana na kwamba una Degree hata ikibidi watu wengi waambie hujaenda shule au uliishia tuu Form four.

Ondoa Aibu na Uoga wacha watu wakuone kama umechanganyikiwa, wacha wakuseme, wacha wakucheke, wacha wakukebehi ila mwisho wa siku unajua unacho kifanya.

Kwa sasa Naishia hapa.

MAFANIKIO HUANZA PALE TU AIBU NA UOGA VINAPO TOWEKA
mkuu una akili sana, umeongea madini kuntu!
 
Aibu na Uoga ni janga kubwa sana. Asikuambie mtu, mtu asikuambia mimi sina mtaji ila ukweli ni Aibu na Uoga.

Kuna Mtumishi mmoja Baba yake na Mkurugenzi wa Jamiiforums aliwahi tuambia mafanikio huanza pale Uoga na Aibu zinapoondoka

Tuna hivi vitu moyoni.

1.Wazazi watanielewa kweli kijana wao mwenye Degree?

2.Hivi Shemeji yangu akisiki itakuwaje?

3.Hivi Mchumba wangu atanielewa kweli kwamba ni mimi niliyekuwa Chuo?

4.Marafiki zangu watanielewa kweli?

5. Majirani vipi?

Combination ya hivyo vyote humfanya mtu aone bora akae tu kisingizio kiwe sina mtaji

Unaondoaje AIBU na UOGA?

1. Jitoe ufahamu kabisa, weka pamba masikioni hapa na pale ambapo inafikia stage wanakuona kama unerukwa na akili ila wewe na Mungu wako ndio mnajua unacho kifanya.

Hii hatua ni ngumu sana kujitoa ufahamu sio mchezo manake inabidi kweli uwe na roho ya Chuma au Roho ngumu sana.

2. Hama nenda mbali na wanako kujua. Kama home ni Korogwe pale na wanakujua ulikuwa Chuo kikuu basi nenda Karatu Arusha anza makazi pale fanya chochote hata kuuza vocha na sigara na karanga.

Hii ni njia nzuri sana manake unakuwa mbali sana na unakuwa kivyako vyako au na mshikaji wako na mnafanya mambo.

3. Usijaribu kumshirikisha mtu yoyote yule hata Wazazi wako kwamba unataka kufanya nini au unafanya nini bali waje kujua wenyewe baadae sana.

Kitendo cha kuwaambia Wazazi au Ndugu na Jamaa na Marafiki kwamba kwa sasa nataka nifungue kibanda cha kuuza Vocha wengi hawatakuelewa na watakukatisha tamaa balaaa.

Hii inachangiwa na imani kwamba Chuo kikuu ni ni levo tofauti.

4. Jitenge na ma-met zako au Marafiki walio na kazi watakutia Uoga zaidi manake ukiwa unawaona wanatokea kazini utaumia zaidi.

5. Washikaji na ndugu na Jamaa wakiwa wanakupigia pigia simu wewe wajibu in short una kibarua unafanya sehemu. Ili kukata mazungumzo manake wakipiga ukaawambia unauza Vocha Dah, hawatakuelewa kabisa kabisa.

Jitahidi kuwakatisha na wajibu in short tu.

MWISHO
Achana na kwamba una Degree hata ikibidi watu wengi waambie hujaenda shule au uliishia tuu Form four.

Ondoa Aibu na Uoga wacha watu wakuone kama umechanganyikiwa, wacha wakuseme, wacha wakucheke, wacha wakukebehi ila mwisho wa siku unajua unacho kifanya.

Kwa sasa Naishia hapa.

MAFANIKIO HUANZA PALE TU AIBU NA UOGA VINAPO TOWEKA
Point kabisa zilizoshiba hizi. Sio kwa graduate tu, hata kwa baadhi ya wafanyakazi
 
Asante kwa ushauri kuna jamaa mtaani kwetu alinifuata akaniambia mkuu toa hela kidogo tuanze kukaanga samaki ebwana niliona aibu sana nikagoma baadae yule jamaa akaanza kuingiza 7000 kwa siku kama faida na alianza na mtaji wa laki huku me nikisambaza bahasha zangu daah nilijiona fala sana,haya madarasa tuliyopitia yana tuharibu sana kiukweli mtaala wetu wa elimu unahitajika uwe somo la ujasiriamali kuanzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu tena iwe ni lazima kulisoma.
Ungeungana nae we jamaa ulifeli banaa! Mie mtu akiwa positive hata anachokifanya kitaonekana cha kipuuzi nitam support.
 
Naungana na mtoa mada kwenye kukimbia mji au mtaa wa nyumbani ili kufanya yako kwa uhuru maana hata mimi imenisaidia hio 😂😂😂 watu hawatakiwi kujua unapambanaje na hata mambo ya kuji expose kwenye mitandao ya kikuda unayaweka kando.
NIliwahi kwenda Ughaibuni, wakati nacheck-in hotelini, RECEPTIONIST aliyenikuwa anachikua details na kunipa entry card niliambiwa Ni PhD Holder. Nilitahamaki
 
Niliwahi kuishi maeneo flani,tajiri mkubwa wa lile eneo alitajirika kwa kuanza na biashara ya kuuza vitumbua,alikuwa anatembeza mkono kwa mkono nyumba kwa nyumba,alipofanikiwa akaendeleza mambo mengine,maduka,hoteli n.k.Baada ya miaka kadhaa nilikuwa kwenye mkoa mwingine nikamshawishi mtu mmoja naye aanzie kwenye biashara hiyo kwani alikuwa hana mtaji wa biashara,mpaka leo haongei na mimi anasema nimemdharau sana...

Sisy angu naye yukogo dar miaka nenda rudi..maisha magumu! Nikamwambia why usiondoke dar ukaend mkoa mwingine?..akaniambia ehee...so nibebe na magodoro na vyombo nihame mkoa..ehe nikifika huko ndo unaona kuna mwanga?..hizo godoro nabebaje😆😆! Alinipa mashushu nika😷
 
Nilikutana na kimbunga cha uchumi kuyumba 2016 mishe zote zikafa. Nikafungua mgahawa mwananyamala biashara ikagoma ,ikabidi nitengeneze toroli ili iwe mobile kitchen.

Nikawa napika chapati ,nilianzia posta pale kituo kinapakana na usalama wa taifa,tra na mamlaka ya bandari. Baishara ilikua nzuri kweli ila usalama wa taifa wakanitimua. Nikahamia na toroli langu kigamboni nako biashara inawa ngumu Sana,kimara,mbezi kote hola.

Nikaamua kubeba toroli langu mkoani mbeya,nimepambana soweto kama miezi 6 hola. Huku nasikia maneno tu huyu amechanganyikia make amesoma ulaya saizi ilitakiwa awe na kazi nzuri tu.

Baada ya mapambano ya muda mrefu gizani sasa jua limewaka. Waliokua wanasema mbovu wanajificha huku wengine wakijisogeza karibu ili waonje keki ya mafanikio. Maisha ya kutafuta hela inatakiwa kujikana nafsi tu ,usione aibu kwani njaa ni yako na familia yako. Unaemuonea aibu ndiye awe mteja wako wa kwanza.


Salute mkuu!🙌🙌ni zaidi ya mfano wa kuigwa!
 
Aiseee
Sisy angu naye yukogo dar miaka nenda rudi..maisha magumu! Nikamwambia why usiondoke dar ukaend mkoa mwingine?..akaniambia ehee...so nibebe na magodoro na vyombo nihame mkoa..ehe nikifika huko ndo unaona kuna mwanga?..hizo godoro nabebaje[emoji38][emoji38]! Alinipa mashushu nika[emoji40]
 
Back
Top Bottom