Graduates wengi mkiweka aibu na uoga pembeni, basi mtaani mnaishi

Ahahaha
 
Hongera
 
Hahahaha Nakumbuka hata mm niliondoka home nikaja town wazaz wakawa wananiuliza unafanya kaz gan huko nawaambia nimejiliwa kweny campuny ya voda hahahaha kumbe nilikua nasajil lain tu kitaa nikienda home napiga mashat ya voda nimetoka mbal

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
We unafikiri ni rahisi hivyo?


We uko Dar na una degree huna ajira?if yes je meshafanya kazi ngapi za kujitoa ufahamu
 
Wewe ni tajiri?na wangapi wanauza vitumbua tangu hatujazaliwa mpaka leo maisha magumu?
 
Wewe ni tajiri?na wangapi wanauza vitumbua tangu hatujazaliwa mpaka leo maisha magumu?
Kwani wote wenye maduka ya vifaa vya umeme ni matajiri,au wote wenye restaurants ni matajiri?kila mtu kwenye biashara ana ubunifu wake, huenda na yeye kwa kufanya hiyo biashara kwa kutumia ubunifu wake angeweza kutoka,sikumwambia afanye hiyo biashara ili awe tajiri ila nilimpa mfano wa mtu ninayemjua alietoka na kuwa tajiri kwa biashara ya vitumbua...
 
Mi ni mhanga wa kusimangwa na jamaa yangu mmoja tuliyesoma wote advance lakini vyuo tofauti ;siku moja alinikuta nafanya kazi ya umachinga mwanza alinicheka sana.Alinicheka si kwamba yeye alikuwa na ajira no,ila alikuwa na pa kula na kulala.
 
Mi ni mhanga wa kusimangwa na jamaa yangu mmoja tuliyesoma wote advance lakini vyuo tofauti ;siku moja alinikuta nafanya kazi ya umachinga mwanza alinicheka sana.Alinicheka si kwamba yeye alikuwa na ajira no,ila alikuwa na pa kula na kulala.

Haha
 
Kuna mda nawalaaani sana watoto wa Dar kuna kipindi ata akipata mwenza wa kimaisha kama yuko nje ya Dar anamkataa, kitukikubwa wanabweteka na vitu vya watu. Tanzania ni kubwa sana na pengine fursa nyingi zimeshachukuliwa na wenye capital njooni mikoani mtafaidika. Niishie hapa akati wewe unafikiria kutoka Dar ni utumwa, kuna mchina analilia arudi bongo auze ata maandazi akiwa na amani ilhali wewe unalia lia tu, dunia kijiji tuamke tupambane.
 
Aisee hii ipo sana mitaani,
Mi ni mhanga wa kusimangwa na jamaa yangu mmoja tuliyesoma wote advance lakini vyuo tofauti ;siku moja alinikuta nafanya kazi ya umachinga mwanza alinicheka sana.Alinicheka si kwamba yeye alikuwa na ajira no,ila alikuwa na pa kula na kulala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…