Grammy wamkataa Diamond Platnumz

Huyo jamaa sasa hivi anageuka shoga bado kiduchu tu
 
Hapo kwa taarifa mbaya kama hiyo kwa diamond watu hasa wabongo wanashangilia , hiyo ni dalili ya roho mbaya unapofurahia anguko la mtu mwingine
Nashangaa vijana wa bongo aiseee.
Mi mondi simkubali live live ila kwa matukio kama haya huwa na feel why imetokea hv...
 
Didi yupo jela...
 
Shida amepeleka amapiano aliyocopy huku anajua amapiano una mwanzilishi wake, angepeleka hata ule wimbo wa nenda ka mwambie au nitarejea wangemfikiria sana.
 
Wasizwa ndio kina nani
 
Hapo kwa taarifa mbaya kama hiyo kwa diamond watu hasa wabongo wanashangilia , hiyo ni dalili ya roho mbaya unapofurahia anguko la mtu mwingine
Mkuu unaposide na Watesi wanyonge wanapoteswa tegemea matokeo kama hayo.
 
Ukiweka ushahidi Grammy waliposema haya mi nipigwe ban.
 
Kwa hiyo huyo mondi anaye jirembesha na kurembua siyo shoga bali mimi ninaye hona tatizondiyo shoga ? Labda ungenipa cheo cha ubasha kwa kutambua mashoga na dalili zao
We ni shoga full stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…