Grammy wamkataa Diamond Platnumz

Pamoja na mambo mengine, kutegemea Kiswahili pekee ni changamoto kubwa. Kwa nyimbo hizo hizo ambazo Diamond ameziimba kwa Kiswahili, angeziimba kwa Kiingereza angepiga show nchi nyingi zaidi.
 
Hapa Sasa tunaamini kwamba alitoka kuangalia move na pdidy chumbani akiwa msaaafiiiiiiii. Kwa kifupi ametuheshinisha wa bongo. Siyo kama wanaigeria.
 
Sababu hizi zina mashiko
 
Endelea kupumuliwa
Yaheee mbona wataka kunirudisha enzi zangu tena na wewe unavyo penda football nikikununulia vile vibuta vyenu rahini rahini kisha nikakuambia rukarukq kidogo ...bila shaka yoyote utakuwa mtamu tu
 
Anayebisha na abishe!
Ila si atavuna kwenye majukwaa ya CCM
 
Yaheee mbona wataka kunirudisha enzi zangu tena na wewe unavyo penda football nikikununulia vile vibuta vyenu rahini rahini kisha nikakuambia rukarukq kidogo ...bila shaka yoyote utakuwa mtamu tu
Endelea kupumuliwa
 
Anayebisha na abishe!
Ila si atavuna kwenye majukwaa ya CCM
Nadhani watu wanachofurahi ni kwa sababu CCM inakata majina ya wagombea kihuni na hivyo Mondy kukatwa inakuwa faraja kwao
 
Hapo ndipo alipoksea, kujiingiza kwenye siasa wakati wewe ni msanii una mashabiki kutoka pande zote
 
Hapa Sasa tunaamini kwamba alitoka kuangalia move na pdidy chumbani akiwa msaaafiiiiiiii. Kwa kifupi ametuheshinisha wa bongo. Siyo kama wanaigeria.
Hehe kwahio burna boy tuhesabu hana vyeo
 
wabongo tunaroho ya chuki hadi kujichukia Binafsi...no wonder hatuendelei..
 
Pamoja na mambo mengine, kutegemea Kiswahili pekee ni changamoto kubwa. Kwa nyimbo hizo hizo ambazo Diamond ameziimba kwa Kiswahili, angeziimba kwa Kiingereza angepiga show nchi nyingi zai

Diamond ana ukubwa wa jina tu ila kwa watu wanaojua muziki anafanya muziki wa kawaida sana, hasa eneo la uandishi anafeli san
Ni kweli kabisaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…