Grand P amuonya mwanaume anayesemekana kuwa na ukaribu na mpenzi wake

Grand P amuonya mwanaume anayesemekana kuwa na ukaribu na mpenzi wake

Frumence M Kyauke

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2021
Posts
630
Reaction score
1,262
Star wa muziki kutoka nchini Guine Grand P amuonya mwanaume ambaye anashutumiwa kuwa na ukaribu na mpenzi wake

1639909830217.jpg

Grand P alinukuliwa akisema kuwa "Kaka yangu Roga Roga nina kuheshimu sana na ninafahamu vyema kua wewe ni raia kutoka Congo na ninawaheshimu sana wakongo lakini chombo unachojaribu kumiliki hakikufai kabisa , kamwe usijaribu ku enjoy na mke wangu lasivyo nitakufanyia kitu ambacho hutokaa usahau katika maisha yako na hii ni onyo tuu asante sana" 🙏 🙏 🙏

Ikumbukwe kua Grand P na mpenzi wake walizungumziwa hivi karibuni kuwa wameachana huku wakionekana katika mitandao ya kijamii wakiwa pamoja na inadhihirisha kuwa Grand P bado anampenda baby wake

1639909847613.jpg
 
Star wa muziki kutoka nchini Guine Grand P amuonya mwanaume ambaye anashutumiwa kuwa na ukaribu na mpenzi wake

View attachment 2049700
Grand P alinukuliwa akisema kuwa "Kaka yangu Roga Roga nina kuheshimu sana na ninafahamu vyema kua wewe ni raia kutoka Congo na ninawaheshimu sana wakongo lakini chombo unachojaribu kumiliki hakikufai kabisa , kamwe usijaribu ku enjoy na mke wangu lasivyo nitakufanyia kitu ambacho hutokaa usahau katika maisha yako na hii ni onyo tuu asante sana" 🙏 🙏 🙏

Ikumbukwe kua Grand P na mpenzi wake walizungumziwa hivi karibuni kuwa wameachana huku wakionekana katika mitandao ya kijamii wakiwa pamoja na inadhihirisha kuwa Grand P bado anampenda baby wake

View attachment 2049699
Hizo nyusi kama zimeungana na nywele.
 
Star wa muziki kutoka nchini Guine Grand P amuonya mwanaume ambaye anashutumiwa kuwa na ukaribu na mpenzi wake

View attachment 2049700
Grand P alinukuliwa akisema kuwa "Kaka yangu Roga Roga nina kuheshimu sana na ninafahamu vyema kua wewe ni raia kutoka Congo na ninawaheshimu sana wakongo lakini chombo unachojaribu kumiliki hakikufai kabisa , kamwe usijaribu ku enjoy na mke wangu lasivyo nitakufanyia kitu ambacho hutokaa usahau katika maisha yako na hii ni onyo tuu asante sana" 🙏 🙏 🙏

Ikumbukwe kua Grand P na mpenzi wake walizungumziwa hivi karibuni kuwa wameachana huku wakionekana katika mitandao ya kijamii wakiwa pamoja na inadhihirisha kuwa Grand P bado anampenda baby wake

View attachment 2049699
Huyu ni msanii wa mchezo gani?
 
Hilo dangote grand p ataliweza peke yake[emoji15][emoji15][emoji15] wacha kamanda roga roga amsaidie kuliendesha
 
Hlo zigo la haja a.k.a tetemente huyo grand P haliwezi , acha tu wahuni wamsaidie ...!!
 
nilidhani grand Puba, kumbe kibaka flani wa kutoka west Africa, ebu achene kuiga majina
 
Hivi huyu Roga Roga si ndo alikuwa mpiga Solo wa Extra Musica?
 
Back
Top Bottom