MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,057
- 39,387
Kwa mashabiki wa mpira
jamani huyu mswiss ni nuksi
Nilianza kumfuatilia kuanzia michuano ya Euro 2016
alikua ndani ya timu ndogo ila yeye ni mkubwa timu yake ilitoka makundi ila alikuwa ndani ya top 5 ya waliopiga pasi nyingi na zilizotimia
huu msimu wake wa pili tumuangalie Xhaka
sitaki kuongele mechi ya ngao ya hisani maana MOTM walimpa yeye na alistahili
yule jamaa alikimbia kati akamuacha Xhaka
jamani huyu mswiss ni nuksi
Nilianza kumfuatilia kuanzia michuano ya Euro 2016
alikua ndani ya timu ndogo ila yeye ni mkubwa timu yake ilitoka makundi ila alikuwa ndani ya top 5 ya waliopiga pasi nyingi na zilizotimia
huu msimu wake wa pili tumuangalie Xhaka
sitaki kuongele mechi ya ngao ya hisani maana MOTM walimpa yeye na alistahili
yule jamaa alikimbia kati akamuacha Xhaka