Granit Xhaka ndio kiungo bora EPL kwa sasa

Granit Xhaka ndio kiungo bora EPL kwa sasa

Granit Xhaka fundi yule wa dimba la chini, mtu wa kazi.....Mzee wa kugawa mipira, Mzee wa mawe nadhani msimu huu watu watamuona kwamba ametimia kwenye dimba la kati
 
Nachompendea Xhaka anapiga hata mbali, uwezo anao pia tatizo lake ni jinamizi la red kadi
 
Unasema kiungo bora kwa sasa, then tusubiri msimu ujao una maana gani?

Kiungo bora kwa kumfananisha na nani?

Toa takwimu zake na za unaomlinganisha nae.

Mpira ni takwimu sio porojo

Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal bhana...wako viungo wananunuliwa kwa paund mil 300 wamekaa kimya huyo wa bure ndio awe bora. Katika dirisha hili la uhamisho hakuna hata timu iliyomfikiria kumnunua hata kwa bure..halafu wewe unakaa hapo Manzese unakuja na siasa zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tushaanza sisi mashabiki wa Wenger kamechi kamoja tena kangao mbwembwe kibao,mechi za kirafiki tulikaa kimya,sasa tumeanza halafu tunaishia njiani mwezi wa pili tu,wote tutakuwa kimya,bora mie nimejijenga kisaikolojia kuitwa wa alhamisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Granit Xhaka's game by numbers vs. Leicester:
96 passes
6 crosses
5 chances created
4 shots
2 assists

mimi huwa sitoi credit kwa wachezaji wabovu
 
usishangae Barcelona wakaja kwa Xhaka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli muda ni wakati

Haya maneno ni mashudu first grade [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom