Grano Caffe Vs UDASA Club

Grano Caffe Vs UDASA Club

Sina haja ya Kujua....Mbona huwa hatuwakuti pale Grano Coffee hata kwa bahati Mbaya. Tunawakuta UDASA na pale Opposite ya UDBS tu....Hivyo jibu unalo mwenyewe hapo.
Wanalipwa vizuri tu sema hawajaekewa vitu vizuri around ,hapo udasa pako jivyo huu mwaka wa 30 ubunifu zero
 
Pale Chuo UDASA club wangeweza kuweka Coffee Shop ya nguvu, car wash, barber shop, massage parlour, Wi-Fi na Generator 24/7 watu wakawa wanaenda pale na kufanya kazi zao na ku-enjoy Ile Green. Pia, Ile shule ingefaa kuwa Demonstration school, English-medium pangefaa Sana.
Kuweka mgahawa wa kisasa pale ni hasara, nani atanunua kahawa kwa TZS 5,000 hadi 10,000 kwa kikombe wakati pembeni kuna chai ya TZS 200 na vitumua vya TZS200, pale Granno kachumbali pekee inaanzia TZS 15,000 wakati hilo sosi la kwenye picha UDASA ni TZS 2,500/=
 
Wasomi na exposure juu lakini hawawezi ku implement hata vitu vidogo ili pawe eneo bora zaidi!

UDASA ni sehemu ya mfano ya failures za wasomi nchi hii! Mabingwa wa warsha, makongamano na consultations lakini vitendo wanavyohubiri zero! Utafikiri ni zile bar kongwe za enzi zetu bana!
PhD zimejaa pale Ila usafi wa Choo tu ni ishu
 
Wasomi na exposure juu lakini hawawezi ku implement hata vitu vidogo ili pawe eneo bora zaidi!

UDASA ni sehemu ya mfano ya failures za wasomi nchi hii! Mabingwa wa warsha, makongamano na consultations lakini vitendo wanavyohubiri zero! Utafikiri ni zile bar kongwe za enzi zetu bana!
Silver sands Hotel
 
Back
Top Bottom